Kwamba Yanga ni mara ya kwanza inashiriki mashindano ya africa? Kwamba haijawah fuzu kucheza mashindano ya africa??Simba aliaminiwa na WaAfricka ila ameewaangusha sana ,timu gani kila msimu ni Robo tu miaka nenda rudi hawajifunzi makosa ?
Yanga msimu wa kwanza baada ya miaka mingi kaingia fainali na msimu huu si ajabu akaishia nusu ama kutwaa kombe kabisa.