Yanga na Mamelodi ndio timu pekee zinazoweza kurudisha heshima ya mtu mweusi katika Soka la Afrika kwenye mashindano ya CAF

Yanga na Mamelodi ndio timu pekee zinazoweza kurudisha heshima ya mtu mweusi katika Soka la Afrika kwenye mashindano ya CAF

Heading inazungumzia CAF

Lini mara ya mwisho Yanga alifika robo fainali kwenye mashindano ya CAF Champions League kama Simba?

Hayo ndio mashindano makubwa hapa Africa

Nyie mlicheza fainali ya CAF Confederation Cup ambayo ni mashindano madogo ukilinganisha na CAF Champions league

Kimataifa Yanga bado sana kuzifikia rekodi za Simba
Kwahiyo kama heading inazungumzia CAF je mashindano ya kombe ya shirikisho ambayo Yanga ilicheza fainali dhidi ya USMA ni ya UEFA?

Mashindano ambayo Yanga kacheza fainali je Simba hakuwahi kushiriki, kama alishiriki je amewahi kufikia alipofikia Yanga?
 
Akili za mashabiki wa Yanga za kisenge sana

Yani timu yao inatolewa klabu bingwa inaenda kucheza shirikisho wakihesabika ni losers wa klabu bingwa, wanafika fainali wanafungwa na timu ambayo haikuwa hata kwenye klabu bingwa USM Alger wanajiona bora

Ni dharau sana klabu iliyokuwa mashindano makubwa ya klabu bingwa kufungwa na klabu ambayo umeikuta kwenye shirikisho

Kwa maneno rahisi: Timu kubwa jinga(Yanga) alifungwa na katimu kadogo kashirikisho (USM Alger)
Kwani Al Ahly alivyofungwa na hawa USMA kwenye CAF super cup je USMA walikuwa wapo kwenye klabu bingwa? Yaani hapo unajiona ndio una akili kabisa
 
Kwahiyo mwaka 1993 uliyocheza fainali ya shirikisho dhidi ya nani? bingwa akawa ni nani wa hilo kombe la shirikisho? Na je huyo bingwa alicheza dhidi ya nani katika CAF super cup ili kuanza kwa msimu mpya wa mashindano ya CAF?
Hilo swali hakuna mwanasimba anayeweza kukujibu kiufasaha
 
Hii hawataki kusikia..Nadhani wengi ni wale wa 2000s
Hilo mimi nimefurahi kulisikia na ningeomba kufahamishwa na nye wahenga wa 1960s

mwaka 1993 Simba ilicheza fainali ya shirikisho dhidi ya nani? bingwa akawa ni nani wa hilo kombe la shirikisho? Na je huyo bingwa alicheza dhidi ya nani katika CAF super cup ili kuanza kwa msimu mpya wa mashindano ya CAF?
 
Thithi ndo tutaiheshimisha Aflika.


images (79).jpeg

Mwonekano anaodhani anao vs alivyo
 
Back
Top Bottom