Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
akikujibu ni tag mkuuMbona unazungumzia mashindano 2 tofauti mkuu
Yanga alifika fainali ya shirikisho Simba robo fainali ya klabu bingwa Afrika
Ni sawa na uifananishe UEFA na EUROPA
Ni lini mara ya mwisho Yanga iliingia robo fainali ya klabu bingwa?