Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

Hii ndio ukisikiaumuhimu wa shule ndio maswala kama haya.

Kwanza mkopo hauna uhusiano na faida ila unaweza kuwa na uhusiano nabhasara iwapo gharama za mkopo(riba) ni kubwa hivyo kampuni au taasisi inaweza kuwa na mkopo ikapata faida na hata kutoa gawio.

Pili sio kila mkopo unapaswa kulipika ndani ya mwaka wa fedha hasa mikopo ya uwekezaji inaweza kuwa wa miaka 6 au hata 10. Hivyo kila mwaka kuna faida shirika au kampuni inapata bado mkoo ukaonekana.

Mwisho kuna watu wamekuwa wakihesabu mikataba iliyoingiwa na kusema mbona wamepewa fedha kidogo. Niwape nao shule kidogo

1. Suala la muda wa mkataba. Vs Muda wa hesabu za clab: Mwaka wa fedha cluba kama unaanza 1 may na kuishia 30 April.. mkataba wowote ukiingia mwizo wa kwanza yaani January utahesabika ni mwezi wa kwanza. Hivyo club ikifunga hesabu zake April itakuwa imepokea fedha za miezi 4 tu hivyo waliotegemea kuona fedha za mwaka mzima hawataziona na watashangaa. Hii ni kwa sabau ya suala la muda mwaka wa pili ndio wataiona full amount.

2. Suala la disbursement(mtirirko wa utoaji fedha) inawezekana pia fedha kutolewa kwa vipindi mfano miezi 3 mitatu. Sasa kabla ya malipo fulani kuiva ikawa ndio mwisho wa hesabu za shirika inakuwa na fedha hazijapokelew hivyo kinaweza kuona kidogo sana au kingi kuliko uhalalisia.

Hivyo kama hatujui tuwaulize wataalamu badala ya kupotosha umma
Mkuu nikushukuru sana kwa kutupa elimu kuhusu mkopo. Mimi nadhani Yanga walipaswa watukabidhi
the annual report and consolidated financial statements
Ili iweze kuelezea zaidi mkopo wao kinagaubaga.
 
Nimemuwekea Statement kashindwa nionesha wapi NMB ina deni la Tril 6

Kahamisha magoli kasema Liabilities ni sehemu ya Madeni
Hili nililiweka sawa kuwa nilichanganya kucopy ila mwisho wa siku kuna figure ya 8.55 kwenye statements na haiondoi hoja kuwa pesa hizo sio za NMB. Ni pesa ambayo kama taasisi inafungwa itatakiwa kulipa kwa wahusika ambao ulisema ni 95% yaani Depositors.

Na hoja ya msingi ni kwamba hata kuwe na mkopo taasisi inaweza kutengeneza faida na ikawa reported. Vinginevyo kama taasisi haitegemei kutengeneza faida in future hiyo haiwezi kopesheka. Msihamishe goli
 
Hii ndio ukisikiaumuhimu wa shule ndio maswala kama haya.

Kwanza mkopo hauna uhusiano na faida ila unaweza kuwa na uhusiano nabhasara iwapo gharama za mkopo(riba) ni kubwa hivyo kampuni au taasisi inaweza kuwa na mkopo ikapata faida na hata kutoa gawio.

Pili sio kila mkopo unapaswa kulipika ndani ya mwaka wa fedha hasa mikopo ya uwekezaji inaweza kuwa wa miaka 6 au hata 10. Hivyo kila mwaka kuna faida shirika au kampuni inapata bado mkoo ukaonekana.

Mwisho kuna watu wamekuwa wakihesabu mikataba iliyoingiwa na kusema mbona wamepewa fedha kidogo. Niwape nao shule kidogo

1. Suala la muda wa mkataba. Vs Muda wa hesabu za clab: Mwaka wa fedha cluba kama unaanza 1 may na kuishia 30 April.. mkataba wowote ukiingia mwizo wa kwanza yaani January utahesabika ni mwezi wa kwanza. Hivyo club ikifunga hesabu zake April itakuwa imepokea fedha za miezi 4 tu hivyo waliotegemea kuona fedha za mwaka mzima hawataziona na watashangaa. Hii ni kwa sabau ya suala la muda mwaka wa pili ndio wataiona full amount.

2. Suala la disbursement(mtirirko wa utoaji fedha) inawezekana pia fedha kutolewa kwa vipindi mfano miezi 3 mitatu. Sasa kabla ya malipo fulani kuiva ikawa ndio mwisho wa hesabu za shirika inakuwa na fedha hazijapokelew hivyo kinaweza kuona kidogo sana au kingi kuliko uhalalisia.

Hivyo kama hatujui tuwaulize wataalamu badala ya kupotosha umma
Asante sana . Mwenye kuelewa ataelewa
 
Wewe huelewi kitu, shule ulidesa
Kama huelewi kwamba taasisi inaweza kupata faida hata kama ina mkopo najisumbua tu. Endelea kuwashika masikio haohao mnaofanana uelewa.
 
Hili nililiweka sawa kuwa nilichanganya kucopy ila mwisho wa siku kuna figure ya 8.55 kwenye statements na haiondoi hoja kuwa pesa hizo sio za NMB. Ni pesa ambayo kama taasisi inafungwa itatakiwa kulipa kwa wahusika ambao ulisema ni 95% yaani Depositors.

Na hoja ya msingi ni kwamba hata kuwe na mkopo taasisi inaweza kutengeneza faida na ikawa reported. Vinginevyo kama taasisi haitegemei kutengeneza faida in future hiyo haiwezi kopesheka. Msihamishe goli
Hapo kwenyw hoja ya msingi mkuu upo sahihi.
Ila kwa case ya yanga ile million 500 ni chenji siyo faida.
Ukibakiwa na chenji baada ya manunuzi kwa hela ya mkopo siyo faida.
 
Hapo kwenyw hoja ya msingi mkuu upo sahihi.
Ila kwa case ya yanga ile million 500 ni chenji siyo faida.
Ukibakiwa na chenji baada ya manunuzi kwa hela ya mkopo siyo faida.
Nakubaliana na wewe 100%

Ndio maana kuna sehemu nilisema sina uhakika kama Hersi alisema ni faida au salio lililokuwepo baada ya matumizi mwishoni mwa mwaka.

Yawezekana tahadhari yako ilikuwa muhimu ila angalia Title yako
 
Naomba kufahamu ukiwa na deni huwezi kupata faida? utalipa vipi deni kama biashara yako haina faida?
Wajukuu wa RAGE watakujibu huku wanajimwayamwaya "utakopa tena ili ulipe mkopo uliokopeshwa"
Kwakuwa hawajamaa wamegoma kabisa kumjengea mnara wake pale Msimbazi, namuomba kwa heshima na taadhima bora afute ile kauli yake aliyoitoa kwenye mkutano Mkuu akiwa ni Mwenyekiti wa klabu, maana imekua kama apizo.
 
Mimi shabiki wa Yanga lakini kwa hili wamekosea. Na hapo Tra wanawasuburia wapige panga lao! Ila ingekuwa sehemu ya liability pengine wangekuwa na nafasi ya kukwepa corporate tax.

Wafanyabiashara wengi hutumia mkopo kupunguza maumivu ya kodi
Hili sio swala la ushabiki ni taaluma
 
Manchester United wamepata faida ya million 600, lakini wana deni la mkopo kama billion moja hivi!!
 
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

View attachment 2669309

Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Au ni kujisahulisha tu lakini lazima deni lilipwe mwaka mwingine wa fedha.

Sasa tuingie kwenye elimu ya finance and accounting.

Swali la msingi hapa
IS LOAN A REVENUE?
No, a loan is not a revenue. Revenue is the income that a company generates from its normal business activities, such as selling goods or services. A loan is a liability, which is a debt that a company owes to another party. The interest that is paid on a loan is an expense, not a revenue.

Hitimisho: MKOPO SIYO MAPATO.

Nafikiri hilo deni halipaswi kulipwa ndani ya mwaka mmoja ndiomaana wanahesabu profit
 
Mnapata tabu Mwenyekiti wenu huko Kolo FC kasema bajeti ya timu msimu huu ni bil 23,huku thamani ya Simba ni bil 20.

Vp hapa hebu tuchambulie yaani bajeti ya msimu mmoja inazidi thamani ya timu.
Mna vichwa vigumu balaa, thamani ya timu iwe bilioni 20 na hisa alizotaka kununua Mo thamani yake ilikuwa sh ngapi? Maana Mo alikuwa hachukui hisa hisa zote
 
Nakubaliana na wewe 100%

Ndio maana kuna sehemu nilisema sina uhakika kama Hersi alisema ni faida au salio lililokuwepo baada ya matumizi mwishoni mwa mwaka.

Yawezekana tahadhari yako ilikuwa muhimu ila angalia Title yako
Title yangu niliiweka kuchokoza mada tu mkuu.
😀😀😀😀😀 Pia nikitaka kufahamu kama mkopo ni mapato.
 
Mna vichwa vigumu balaa, thamani ya timu iwe bilioni 20 na hisa alizotaka kununua Mo thamani yake ilikuwa sh ngapi? Maana Mo alikuwa hachukui hisa hisa zote
Vichwa vigumu vip okay Mo kanunua 2021 49% kwa 20bil,so approximately mwaka 2021 thamani ni 40bil total.

So bajeti ya mwaka ni sawa na nusu ya thamani ya club,hapa ndipo kuna maajabu.

Ila inawezekana kwa Simba pekee ndio ikawa timu ya kwanza duniani,kuwa na bajeti ambayo ni nusu ya thamani ya timu.
 
Title yangu niliiweka kuchokoza mada tu mkuu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Pia nikitaka kufahamu kama mkopo ni mapato.
Mada imetembea kweli.

Ila twende kwenye uhalisia. Kwa uelewa wa wajumbe wa mkutano mkuu na jinsi wanavyopatikana unahisi angewasilisha kwa kufuata taratibu za uhasibu wangeelewa? Au ndio wangekesha kwenye mkutano mkuu?

Tukiachana na taratibu za kihasibu kama angesingeonyesha pesa ya mkopo iliyoingia na ilivyotumika lazima kungezuka swali, tulipata pesa za mkopo je zilitumikaje? Na huenda ingetengeneza room ya watu kuzipiga hizo 4b
 
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

View attachment 2669309

Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Au ni kujisahulisha tu lakini lazima deni lilipwe mwaka mwingine wa fedha.

Sasa tuingie kwenye elimu ya finance and accounting.

Swali la msingi hapa
IS LOAN A REVENUE?
No, a loan is not a revenue. Revenue is the income that a company generates from its normal business activities, such as selling goods or services. A loan is a liability, which is a debt that a company owes to another party. The interest that is paid on a loan is an expense, not a revenue.

Hitimisho: MKOPO SIYO MAPATO.
Ndugu mchumi, nadhani hili sio eneo lako, hapa waachia CPA's. FS ni mjumuiko wa mapato na matumizi sehemu inayozaa faida au hasara, kuna sehemu ya Mtaji, Mali na madeni pia kuna sehemu ya mzunguko wa fedha( Cashflow)...Jifunze kwanza hivyo ukimaliza urudi.
 
Vichwa vigumu vip okay Mo kanunua 2021 49% kwa 20bil,so approximately mwaka 2021 thamani ni 40bil total.

So bajeti ya mwaka ni sawa na nusu ya thamani ya club,hapa ndipo kuna maajabu.

Ila inawezekana kwa Simba pekee ndio ikawa timu ya kwanza duniani,kuwa na bajeti ambayo ni nusu ya thamani ya timu.
Kaka mbona nikikwambia una kichwa kigumu unabisha wakati bado unaonyesha una kichwa kigumu? Hiyo bil20 Mo aliitamka mwaka gani na wakati huo bajeti ya simba ilikuwa sh ngapi? Unataka kusema yanga ya mwinyi zahera ina value sawa na yanga aliyoiacha nabi? Elewa mambo yanaenda yakibadilika ndio maana hadi leo hakuna anaesema value ya yanga ni kiasi gani
 
Ujifunze ya nyoko,
Ungetaka kujifunza usingeanza na kuandika dharau kqa Yanga, ungeuliza inakuaje timu inadaiwa lakini inapata faida? Hapo ndio wataalam tungekuelimisha. Kolo wewe mwenye masikio kama upawa wa kuchotea makande.
Maaamaeeehh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaka mbona nikikwambia una kichwa kigumu unabisha wakati bado unaonyesha una kichwa kigumu? Hiyo bil20 Mo aliitamka mwaka gani na wakati huo bajeti ya simba ilikuwa sh ngapi? Unataka kusema yanga ya mwinyi zahera ina value sawa na yanga aliyoiacha nabi? Elewa mambo yanaenda yakibadilika ndio maana hadi leo hakuna anaesema value ya yanga ni kiasi gani
Ilikuwa 2021 now 2023 ina maana hiyo 20bil imedouble? Wewe kama unaamua kujitoa ufahamu na kujifanya chizi ni wewe, ila hamna kitu kama hiko.

Mpaka sasa Yanga bado hata hawaja ingia kwenye mchakato wa hisa zaidi ya kuunda muundo wa uongozi na kiutawala kwa ajili ya kuingia kwenye michakato ya hisa.
 
Ilikuwa 2021 now 2023 ina maana hiyo 20bil imedouble? Wewe kama unaamua kujitoa ufahamu na kujifanya chizi ni wewe, ila hamna kitu kama hiko.

Mpaka sasa Yanga bado hata hawaja ingia kwenye mchakato wa hisa zaidi ya kuunda muundo wa uongozi na kiutawala kwa ajili ya kuingia kwenye michakato ya hisa.
Kwahiyo kama yanga haijaingia kwenye mambo ya hisa maana yake haina thamani? Tupe value ya yanga kwa wakati huu tuliopo? Au huijui?
 
Back
Top Bottom