Yanga ni timu ya kawaida sana Ila inakuzwa bila ya sababu

Yanga ni timu ya kawaida sana Ila inakuzwa bila ya sababu

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna rafiki yangu alikuwa anamiliki gazeti la michezo wakati fulani. Rafiki yangu huyu alinipa Siri ni Kwa vyombo vya habari huwa vinaipaisha sana Yanga.

Alisema kuwa mashabiki Wa Simba si wanunuzi Wa habari za michezo kuliko mashabiki wa Yanga.

Kwa maelezo yake ni kwamba siku Yanga ikishinda mauzo ya habari za Yanga huwa Juu kuliko Simba ikishinda.

Kwa Ivo Yanga ni lazima isifiwe Kwa Kila njia Ili watu wafanye biashara.
 
Na ndio timu pekee ambayo kiingilio ilikua buku 10 bila kujali ijaze au isijaze

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Usisahau ni timu pekee iliyokuja ikitembeza kapu ili ipate mapato ya kuendesha timu, pia ni timu pekee iliyoiomba TFF mechi zake za msimu wa kwanza zianzie nyumbani Kwa sababu hawakuwa na pesa za kutosha kuzunguka mkoa
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anamiliki gazeti la michezo wakati fulani. Rafiki yangu huyu alinipa Siri ni Kwa vyombo vya habari huwa vinaipaisha sana Yanga.

Alisema kuwa mashabiki Wa Simba si wanunuzi Wa habari za michezo kuliko mashabiki wa Yanga.

Kwa maelezo yake ni kwamba siku Yanga ikishinda mauzo ya habari za Yanga huwa Juu kuliko Simba ikishinda.

Kwa Ivo Yanga ni lazime isifiwe Kwa Kila njia Ili watu wafanye biashara.
Haiakisi kichwa cha habari.
 
Back
Top Bottom