Yanga ni timu ya kawaida sana Ila inakuzwa bila ya sababu

Yanga ni timu ya kawaida sana Ila inakuzwa bila ya sababu

Kuna rafiki yangu alikuwa anamiliki gazeti la michezo wakati fulani. Rafiki yangu huyu alinipa Siri ni Kwa vyombo vya habari huwa vinaipaisha sana Yanga.

Alisema kuwa mashabiki Wa Simba si wanunuzi Wa habari za michezo kuliko mashabiki wa Yanga.

Kwa maelezo yake ni kwamba siku Yanga ikishinda mauzo ya habari za Yanga huwa Juu kuliko Simba ikishinda.

Kwa Ivo Yanga ni lazime isifiwe Kwa Kila njia Ili watu wafanye biashara.
timu ya kawaida ina fika fainali ya kombe la shirikisho?unakunywa mataputapu?
 
Inakuzwa BILA SABABU..???? Sasa kwa maelezo yako huoni kwamba INAKUZWA ILI AUZE MAGAZETI…!! Au hiyo sio sababu…???
 
Mkuu yaani nikifikiria nondo unazozitoa kwenye jukwaa la siasa na nikisoma na hiki ulichokiandika hapa nasema kweli hakuna mkamilifu ila Mungu tu
 
Ndugu inawezekana mpira wa Bongo u uwelewi, Yanga ndio wenye mpira wa nchi hii kabla ya uhuru.
Muulize mwandishi mkongwe yeyote wa magazeti hasa za michezo. Miaka ya nyuma kama Yanga imecheza mechi leo jioni, kesho kama utachelewa kununua gazeti saa mbili asubuhi magazeti yamekwisha.
Timu ya wananchi ina mashabiki wengi nchi nzima.
 
Ndio mayele.ndio alikuwa ananyota wengine wanayo ya kenge au punda nafuu punda milia yake inang'aa maana ni nembo ya taifa
 
Usisahau ni timu pekee iliyokuja ikitembeza kapu ili ipate mapato ya kuendesha timu, pia ni timu pekee iliyoiomba TFF mechi zake za msimu wa kwanza zianzie nyumbani Kwa sababu hawakuwa na pesa za kutosha kuzunguka mkoa
Hilo la kuiomba TFF ni uzushi.
Yanga (Mwingi Zahera) walilalamika kupangiwa mechi za away kama nne hivi zile za awali kabisa wakati Simba wamepangiwa kuanzia nyumbani, na kuona hiyo ni hujuma kwao na upendeleo kwa mpinzani wake wa jadi.

TFF wakafanya kama kuisukumia ili kuikomoa kwa kuipangia mechi za home mfululizo wakiamini kwenye mzunguko wa pili itapuyanga kwa sababu itakua inacheza away mfululizo.

Walipoona mambo yanakwenda kinyume na matarajio wakaanza figisu mpya.
 
Hilo la kuiomba TFF ni uzushi.
Yanga (Mwingi Zahera) walilalamika kupangiwa mechi za away kama nne hivi zile za awali kabisa wakati Simba wamepangiwa kuanzia nyumbani, na kuona hiyo ni hujuma kwao na upendeleo kwa mpinzani wake wa jadi.

TFF wakafanya kama kuisukumia ili kuikomoa kwa kuipangia mechi za home mfululizo wakiamini kwenye mzunguko wa pili itapuyanga kwa sababu itakua inacheza away mfululizo.

Walipoona mambo yanakwenda kinyume na matarajio wakaanza figisu mpya.
labda umesahau au mahaba yako Kwa timu yamekutia upofu, yanga hawakupoteza hata mechi Moja nyumbani. Walipoanza kwenda mkoani ndio wakaanza kupoteza na timu ya kwanza kuifunga ni stand united. Zahera alikuwa muwazi Hali ya Yanga kipesa ilikuwa mbaya ndio akalalamika.
 
Jukwaa la siasa huwa nakupa heshima zote
Sasa naona umekuja huku kujivua nguo ili tukuone mwehu

Yanga ni kubwa taka usitake
 
labda umesahau au mahaba yako Kwa timu yamekutia upofu, yanga hawakupoteza hata mechi Moja nyumbani. Walipoanza kwenda mkoani ndio wakaanza kupoteza na timu ya kwanza kuifunga ni stand united. Zahera alikuwa muwazi Hali ya Yanga kipesa ilikuwa mbaya ndio akalalamika.

Ni kweli mahaba ninayo kwa timu yangu ila hayanitii upofu, na nikukumbushe Zahera alilalamikia ratiba hata kabla ya ligi haijaanza. Hali ya uchumi ilikua inaeleweka na uwazi wa Zahera inaeleweka na ndio uliosababisha atimuliwe.

Ni kweli timu ilianza kupoteza kwa Stand hakuna anaekubishia. Tunatofautiana sababu za kupoteza.

Wewe unaona walianza kupoteza kwasababu ya kimchezo na ufukara wa timu, wenye Yanga yao wanaona ni figisu ya Alshabab kutokana na ratiba ya kihuni.

Mfano unakuta Kagera kuna timu1, Tanga 2, Shinyanga 2, Mbeya 2. Yanga inapangiwa mechi 1 Shinyanga, inayofuata Tanga, inayofuata unarudishwa Shinyanga, halafu unapelekwa tena Tanga, ukitoka hapo ni safari ya Mbeya inafuata Kagera hafu unarudi tena Mbeya.

Kumbuka hapo ni mechi mbili kwa wiki na mpinzani wake hafanyiwi hivyo.
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anamiliki gazeti la michezo wakati fulani. Rafiki yangu huyu alinipa Siri ni Kwa vyombo vya habari huwa vinaipaisha sana Yanga.

Alisema kuwa mashabiki Wa Simba si wanunuzi Wa habari za michezo kuliko mashabiki wa Yanga.

Kwa maelezo yake ni kwamba siku Yanga ikishinda mauzo ya habari za Yanga huwa Juu kuliko Simba ikishinda.

Kwa Ivo Yanga ni lazima isifiwe Kwa Kila njia Ili watu wafanye biashara.
Mbona kama unaweweseka? Au una hofu na mechi ya kesho? Jiandae tu kisaikolojia. Kesho mtapiga sana makelele humu ya kwa nini Phiri hajaanza! Kwa nini Baleke kaanza!! Nk.
 
Hiyo ni kabla ya digital platforms we mbweha!..2005/6 kiingilio game za Simba ilikua buku jero wakati yanga buku 3
Kila timu ina malengo yake;
1. kutoa burudani kwa fans wake. (Kigilio kidogo)
2. kupata fedha kutoka kwa fans/mashabiki wake. (Kingilio kikubwa)
Malengo ya Simba na Yanga hayafanani. Hivyo kila upande ulitimiza malengo yake.
Kingilio kikubwa/kidogo kinakuumiza nini mkuu.
 
Back
Top Bottom