Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Hiki kikosi kisipoanza kufumuliwa taratibu kuanzia hili dirisha dogo, basi huko mbele itakuja kuwalazimu muachane na kundi kubwa la wachezaji wa nje ili muingize kubwa jingine, na hapo ndipo mtakapopoteana.

Simba Sc ilionekana ni ya ajabu sana kuwekeza kwa vijana ila nadhani mnaojua mpira mtakuwa mnaelewa sasa, ni nani aliyekuwa na malengo ya muda mrefu.

Next season mtawakataa hawa wafuatao:-

Kisinda (mkataba 2yrs)
Aucho
Moloko
Morrison(hakuna alichokuja kuongeza ilikuwa ni siasa tu)

Aziz Ki (Wengi hamtaki kukibali ila huyu jamaa liability tukijaribu kuhuisha kazi anayofanya uwanjana na maslahi anayochuma hapo Yanga)

Diarra (Msimu huu anaonekana kupoteza ubora)



Hapo Yanga Sc player wa maana (wakigeni) kwasasa ni Bangala tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hiyo list kocha hayupo kwasababu yeye hatahitaji msimu, ji mechi hizi hizi mbili ndio zitakazoamua kubaki au kusepa
 
Kwa uchezaji huu Yanga Goli wanalipata vipi?? Wachezaji hawana Indesity hawana Fighting Wapo wapo tu.
 
Ha.. ha.. ha.. mabingwa wa historia na unbitten.
Watabaki na slogani tu.
Timu ya wananchi.

Yanga hamna ubavu wa kuitoa hiyo timu.

Waina Lillahi waina Ilahi rajuun wajada.
 
Nina uhakika kule kwao uhakika wa kupigwa goli 5 upo kabisa, sasa acha washindwe kutumia hizi figisu zao halafu wasubiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Oya Yanga na Kipanga matokeo yao yalikuwaje kwenye ile mechi ya kirafiki?

Mimi sikuangalia mechi ya Kipanga na hawa Club Africain ila naimani walicheza vizuri kuliko Yanga
 
Hiki kikosi kisipoanza kufumuliwa taratibu kuanzia hili dirisha dogo, basi huko mbele itakuja kuwalazimu muachane na kundi kubwa la wachezaji wa nje ili muingize kubwa jingine, na hapo ndipo mtakapopoteana.

Simba Sc ilionekana ni ya ajabu sana kuwekeza kwa vijana ila nadhani mnaojua mpira mtakuwa mnaelewa sasa, ni nani aliyekuwa na malengo ya muda mrefu.

Next season mtawakataa hawa wafuatao:-

Kisinda (mkataba 2yrs)
Aucho
Moloko
Morrison(hakuna alichokuja kuongeza ilikuwa ni siasa tu)

Aziz Ki (Wengi hamtaki kukibali ila huyu jamaa liability tukijaribu kuhuisha kazi anayofanya uwanjana na maslahi anayochuma hapo Yanga)

Diarra (Msimu huu anaonekana kupoteza ubora)



Hapo Yanga Sc player wa maana (wakigeni) kwasasa ni Bangala tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba imepandisha mchezaji yupi kutoka timu ya vijana?

Hawa kina Onyañgo ndio vijana?
 
Oya Yanga na Kipanga matokeo yao yalikuwaje kwenye ile mechi ya kirafiki?

Mimi sikuangalia mechi ya Kipanga na hawa Club Africain ila naimani walicheza vizuri kuliko Yanga
Sikumbuki kama Yanga Sc amecheza mechi yoyote ile na Kipanga, ninachoju mimi ni Simba Sc ndio alicheza nao mechi ya kirafiki kule Zanzibar na kama sijakosea nadhani tulitoka suluhu.

Kipanga alicheza vizuri sana pale Zenji kiasi cha kuwalazimisha waarabu wapaki bus.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom