Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
mimi ule uzi mweupe na mwekundu umenikuna aiseeNabi awaambie wachezaji wake
'Imagine that you are playing against Simba'
Hiyo itasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi ule uzi mweupe na mwekundu umenikuna aiseeNabi awaambie wachezaji wake
'Imagine that you are playing against Simba'
Hiyo itasaidia
Waondoke naye hatumuhitaji tenaTena aondoke na ndege ya club africain
Nilidhani wanasingiziwa. Leo au CCM Kirumba?Injinia zile bahasha hakikisha zinafika dressing room kwa wakati kabla ya halg time.
Ngoja wapate kamoja utawaona watakavyobanana hapa [emoji23]Vidole vyao vimekufa ganzi [emoji1787]
Malengo yake si kuifunga Simba? Tayari kafanikiwaNabi uwezo mdogo sana
Sasa Nabi ndio anaingia uwanjani?Yanga walipaswa kumfukuza Nabi baada ya Mechi ya Al hilal.
Mechi zote anazokutana na makocha ambao ni tactical anakosa majibu. Mechi dhidi ya Vipers, Al hilal na hii ya leo na ona hana mbinu yoyote ya kujibu mipango wanayokuna nayo.
Mgunda naye hamna kitu paleMgunda ana uwezo mkubwa
kama Nabi anauwezo mkubwa, avuke hapo mzee baba..Mgunda ana uwezo mkubwa
2nd Half ndo dakika za Yanga.Endelea kufuatilia kandanda safi naona magoli 2Ngoja wapate kamoja utawaona watakavyobanana hapa [emoji23]
aisee hakya .nani.... eti gali ngapi?2nd Half ndo dakika za Yanga.Endelea kufuatilia kandanda safi naona magoli 2
Sikumbuki kama Yanga Sc amecheza mechi yoyote ile na Kipanga, ninachoju mimi ni Simba Sc ndio alicheza nao mechi ya kirafiki kule Zanzibar na kama sijakosea nadhani tulitoka suluhu.
Kipanga alicheza vizuri sana pale Zenji kiasi cha kuwalazimisha waarabu wapaki bus.
Sent using Jamii Forums mobile app
Linakufa jitu leo!
Sawa maana nimebet over 1.52nd Half ndo dakika za Yanga.Endelea kufuatilia kandanda safi naona magoli 2
Hayo maneno yenu malengo yetu kwa ligi ya ndani ni ubingwa na hauwezi kuwa bingwa Kwa kuchagua timu za kuzifunga. Hata ikiuma lazima tukufungeni Ili tuwe mabingwaMalengo yake si kuifunga Simba? Tayari kafanikiwa