The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Yanga mechi zao za kukaza huwa ni Simba huku kwingine naona sio malengo yao au wameishiwa mbinu.Mayanga yanacheza kama yanaongoza nne.
Nina uhakika kule kwao uhakika wa kupigwa goli 5 upo kabisa, sasa acha washindwe kutumia hizi figisu zao halafu wasubiri.Tuta, refa kapeta
Katika hiyo list kocha hayupo kwasababu yeye hatahitaji msimu, ji mechi hizi hizi mbili ndio zitakazoamua kubaki au kusepaHiki kikosi kisipoanza kufumuliwa taratibu kuanzia hili dirisha dogo, basi huko mbele itakuja kuwalazimu muachane na kundi kubwa la wachezaji wa nje ili muingize kubwa jingine, na hapo ndipo mtakapopoteana.
Simba Sc ilionekana ni ya ajabu sana kuwekeza kwa vijana ila nadhani mnaojua mpira mtakuwa mnaelewa sasa, ni nani aliyekuwa na malengo ya muda mrefu.
Next season mtawakataa hawa wafuatao:-
Kisinda (mkataba 2yrs)
Aucho
Moloko
Morrison(hakuna alichokuja kuongeza ilikuwa ni siasa tu)
Aziz Ki (Wengi hamtaki kukibali ila huyu jamaa liability tukijaribu kuhuisha kazi anayofanya uwanjana na maslahi anayochuma hapo Yanga)
Diarra (Msimu huu anaonekana kupoteza ubora)
Hapo Yanga Sc player wa maana (wakigeni) kwasasa ni Bangala tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya Yanga na Kipanga matokeo yao yalikuwaje kwenye ile mechi ya kirafiki?Nina uhakika kule kwao uhakika wa kupigwa goli 5 upo kabisa, sasa acha washindwe kutumia hizi figisu zao halafu wasubiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha wao ni msomiMbona hajamuweka Farid? Si nasikia ndo balaa humo kikosini
Kolo mnatamani nabi aondokeKatika hiyo list kocha hayupo kwasababu yeye hatahitaji msimu, ji mechi hizi hizi mbili ndio zitakazoamua kubaki au kusepa
Muache kupewa magoli ya kubebwaNajua Mtani ila kwa game kama ya leo inahitaji Timu ya Wananchi tubadilike.
Simba imepandisha mchezaji yupi kutoka timu ya vijana?Hiki kikosi kisipoanza kufumuliwa taratibu kuanzia hili dirisha dogo, basi huko mbele itakuja kuwalazimu muachane na kundi kubwa la wachezaji wa nje ili muingize kubwa jingine, na hapo ndipo mtakapopoteana.
Simba Sc ilionekana ni ya ajabu sana kuwekeza kwa vijana ila nadhani mnaojua mpira mtakuwa mnaelewa sasa, ni nani aliyekuwa na malengo ya muda mrefu.
Next season mtawakataa hawa wafuatao:-
Kisinda (mkataba 2yrs)
Aucho
Moloko
Morrison(hakuna alichokuja kuongeza ilikuwa ni siasa tu)
Aziz Ki (Wengi hamtaki kukibali ila huyu jamaa liability tukijaribu kuhuisha kazi anayofanya uwanjana na maslahi anayochuma hapo Yanga)
Diarra (Msimu huu anaonekana kupoteza ubora)
Hapo Yanga Sc player wa maana (wakigeni) kwasasa ni Bangala tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumbuki kama Yanga Sc amecheza mechi yoyote ile na Kipanga, ninachoju mimi ni Simba Sc ndio alicheza nao mechi ya kirafiki kule Zanzibar na kama sijakosea nadhani tulitoka suluhu.Oya Yanga na Kipanga matokeo yao yalikuwaje kwenye ile mechi ya kirafiki?
Mimi sikuangalia mechi ya Kipanga na hawa Club Africain ila naimani walicheza vizuri kuliko Yanga
Kuna wanangu wa Simba hapa wanaleta manjonjo kwa watani wao yani wamekiwasha kweli kweliRaha ya kuangalia mpira usio na presha ya matokeo