Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
😳😳😳😳😳😳😳😳😳Leo Yanga anashinda 4 (NNE), kuna watu hawataamini macho na masikio yao.
Leo wanachomolewa mwiko nyuma na kupakuliwaTupo pamoja katika kuutoa huo mwiko
Hii ya kwenu hii kama ilitoa sare na kipanga ninyi si mnajipigiaHahahaaa. Ahsante bana.
Ngoja tuone na huku nako.
Mwarabu anaenda kuushindilia ule mwiko uzame kabisaDaima mbele nyuma maelewano, leo Uto waelewane vizuri na Mwarabu
Kama hizo 4 hata kwa Geita hawezi ataweza kwa Mwarabu?Leo Yanga anashinda 4 (NNE), kuna watu hawataamini macho na masikio yao.
atasaidia kukimbiza kule mbele na mbio zake mpira usiwe unarudi sana nyumaSielewagi kazi ya Kisinda View attachment 2405034
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Moloko ni mzuri kuliko Kisinda anayekumbia bila hata kutumia akiliatasaidia kukimbiza kule mbele na mbio zake mpira usiwe unarudi sana nyuma
Tunajuaga hizi ndo kauli zenu Maveterani hakuna ambaye anasema hapo nyuma alikuwa mbovu uwanjani.
Ahsante Mkuu.
Niruhusu nije inbox nikuambie wapi uje umuone fundi wa soka, tena nikicheza na vijana sio veterans.Siku zote hizi ndo kauli zenu Maveterani hakuna ambaye anasema hapo nyuma alikuwa mbovu uwanjani.
Ahsante Mkuu.
Tunaomba iwe hivyo mkuuLeo Yanga anashinda 4 (NNE), kuna watu hawataamini macho na masikio yao.
Hilo halina ubishi Mtani.Hii ya kwenu hii kama ilitoa sare na kipanga ninyi si mnajipigia
Kipindi cha pili ndio chenu mtaniHilo halina ubishi Mtani.
Japo ili kuweza kujipigia kama usemavyo inabidi tupate mabao first half ila tukitegemea second half tena dakika za mwishoni ni dhahiri waarabu watatuacha vinywa wazi.
hata faridMoloko ni mzuri kuliko Kisinda anayekumbia bila hata kutumia akili
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app