Mchezo umeanza
Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kuanza mchezo, wachezaji na benchi la ufundi la timu zote wanasalimiana
Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kupasha miili joto, idadi ya watu siyo kubwa lakini wanaendelea kuingia uwanjani.
============
Leo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia
Ikumbukwe kuwa Yanga Sc ndio wawakilishi pekee Kutoka Tanzania Kwenye kinyang'anyiro hiki Cha Caf Confederation Cup.
Hivyo wanawakilishi nchi yetu
Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 9:00 jioni na mchezo utakuwa live kupitia Azam Tv chaneli ya Azam Sports One HD.