Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Mchezo umeanza

Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kuanza mchezo, wachezaji na benchi la ufundi la timu zote wanasalimiana

Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kupasha miili joto, idadi ya watu siyo kubwa lakini wanaendelea kuingia uwanjani.

============
Leo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia

Ikumbukwe kuwa Yanga Sc ndio wawakilishi pekee Kutoka Tanzania Kwenye kinyang'anyiro hiki Cha Caf Confederation Cup.

Hivyo wanawakilishi nchi yetu

Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 9:00 jioni na mchezo utakuwa live kupitia Azam Tv chaneli ya Azam Sports One HD.
dk 35 Mayele 0
 
Fei
Aucho
Bangala
Juma Shaban
Aziz Kii

Mayeleeeeeeeee
 
Kibwana
Kibwana

Anarusha

Morison

Wakurusha tena

Aucho
 
Yanga tuna stahili kubaki hapa hapa bongo. Kimataifa kuna safari ndefu sana kuifikia japo mashabiki wake tumejawa midomo ya kuona kama kazi rahisi tu kisa jirani kaweza.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
I pity you guy I really do, japo kuna Yanga wachache ambao wanaweza ku appreciate uwezo wa Simba kama wewe
 
Kwa namna yanga sc wanavyocheza na wapo nyumbani, tusubirie ile aibu iliyompata kipanga.
 
Back
Top Bottom