Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Shida inakuja pale game inapokuww ngumu zaidi kwa Yanga, huku muda ukijongea utaona maajabu yaani ni kama siku ile Metacha wakati wakicheza Yanga na PolisiHapana labda kwa rekodi zingine zilizopita ila leo kawa bora sana pale golini
hahaha leo nipo hapa mwanzo mwenga.Najua soon utalog off. 🤣🤣 Hizi shangwe zitakuwa zimeisha.
Yani na tangazo lao la wembe wa blue sodz linavyorudiwa rudiwa mara kumi kumi ni kama wamejihakikishia kwamba asilimia kubwa ya wateja wao hawanyoi mavuziMliopo karibu na Azam tv wambieni wapunguze matangazo baada half time ili tupate muda wa kutosha wa kusikiliza uchambuzi wa akina Ali Kamwe
Subiri uone hapo ndo utajua hujui. Teh tehNimewadia mapema tu kusindikiza ushindi wa Mbeya city.
Hizo goli 2 labda zipatikane ndotoni.
aOk kwa hapo kweli huyu jamaa ameluwa mtu wa kuoenda vi show off vinavyoweza kuzaa uzembeShida inakuja pale game inapokuww ngumu zaidi kwa Yanga, huku muda ukijongea utaona maajabu yaani ni kama siku ile Metacha wakati wakicheza Yanga na Polisi
Ooh. Safi sana.hahaha leo nipo hapa mwanzo mwenga.
Huo ndo ukweli na wana zari sana haya yanafanyika kwa mkapawapo vizuri sana
Nawewe pia uwepo hapa mpaka mwisho, maana hukawii kutoka baru. HahahOoh. Safi sana.
Bila bahasha ni wepesi mithiri ya pamba..Wacha uone mpaka mwisho itakuwaje.Shida inakuja pale game inapokuww ngumu zaidi kwa Yanga, huku muda ukijongea utaona maajabu yaani ni kama siku ile Metacha wakati wakicheza Yanga na Polisi