Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwa mara ya kwanza aliyepanga hizo odds anaenda kubeba lawama kwa kufilisi kampuni kwa kufanya mzaha na pesa za kampuniWadau wamempa Utopolo 2.30 droo ni 2.70 na Simba 3.25.
Ina maana Yanga ni favourite.