Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtu wa amaninamba moya wa kukomenti...ila leo simba wanalalaYap huyu ndio Joseverest naye mjua
Nani kakwambia hawajapeleka Azam? Ama wew ndiye AzamMpira wa kibongo hovyo sana Imagine hata kutoa lineup wanategeana na wanajua kabisa sheria line up inatakiwa Azam media saa moja kabla ya game.
wewe ndio umemfundisha madevu kutetema kama MashaLove? 🤣🤣Mliopo huko mnatosha Mkuu.
Hakika Mtani hizi derby huwa hazitabiriki saa ingine.Dakika 90 mtani ndio mwamuzi. Haya mambo haya utashagaa watu wanarukaruka tu uwanjani tofauti na matarajio ya mashabiki. 🤣
Tusubiri tuone, mwenye kisu kikali atakula nyama
Updated tayariTimu zimegoma kutoa lineups [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivyo tusubiri tu Kudra za aliye juu. 🤣🤣🤣Tutakosa Hewa Kwa Moshi, Moshi Utatapakaa Mji Mzima [emoji23]
Wangekuwa wamepeleka on time pundits wangekuwa wanafanya analysisNani kakwambia hawajapeleka Azam? Ama wew ndiye Azam
Ya kweli hayo mnyama mwenzangu 🤣. Basi tukaze buti.Wana Simba huu mchezo kwetu ni kama tunacheza tuu na Dodoma jiji
Yaa hizi derby ngumu kutabiriHakika Mtani hizi derby huwa hazitabiriki saa ingine.
Hebu huko na wewe.wewe ndio umemfundisha madevu kutetema kama MashaLove? 🤣🤣
Yanga kupitia ajadi ya mayele washajitabiria
Tulia wewe Topolo acha kulialia,wewe ni msemaji wa Azam?Mpira wa kibongo hovyo sana Imagine hata kutoa lineup wanategeana na wanajua kabisa sheria line up inatakiwa Azam media saa moja kabla ya game.
Hakika Mkuu.