Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raund ya kwanza kikosi kilikuwa ovyo sijui wachezaji wetu walichanganyikiwa kuondoka konde na Cham🤣. Angalau sasa tunaweza kunena kwa lugha japo tunawatisha kisaikolojia na uchawi wa moshi.Kwa kweeli Mtani japo mmezidi kujihami aisee. 🤣🤣🤣
Dakika 90 mtani ndio mwamuzi. Haya mambo haya utashagaa watu wanarukaruka tu uwanjani tofauti na matarajio ya mashabiki. 🤣Kwa kweeli Mtani japo mmezidi kujihami aisee. 🤣🤣🤣
Ndio mida ya kuaamka kuelekea kilingeni 😁We jamaa nyuzi zako zote unapost saa 6 kamili usiku,Kwa nini?
Tutakosa Hewa Kwa Moshi, Moshi Utatapakaa Mji Mzima [emoji23]Na leo tuwasheni moto Uwanjani jamani walau tunaweza ongoza ligi. [emoji28][emoji28][emoji28]
#Nguf moya.
Bado havijatoka vikitoka tunaweka hapaJamani mbona hatuletewi vikosi ili sisi wachambuzi tuanze kuchambua mchezaji mmoja mmoja hadi na familia zao pamoja na michepuko yao
Farid Na SureBoy Hawakustahili Kuanzia Benchi Hii Game [emoji17]
Uto keshatoa. Hata hivyo kikosi cha uto kinatabirikaTimu zimegoma kutoa lineups 😂😂😂
Msimu ujao unastahili kubeba mikoba ya NabiFarid Na SureBoy Hawakustahili Kuanzia Benchi Hii Game [emoji17]
Yanga tayari mpaka muda huu saa kumi na nusuTimu zimegoma kutoa lineups [emoji23][emoji23][emoji23]