Sawa Binti Rage
Mpira umekosa radha bora nikalale tu
Acha tu kwakweliUkiona unazuia jua unashambuliwa sana sio umedharau unless utakuwa una uelewa mdogo mbo kuhusu mpira
Ndio inakupeleka league kubwa.Hata alivyokosa Penalt robo fainali sikumkataa itakua hii Ligi ya Chandimu?
Niko mbali na TV ndugu, jamaa kafanyaje huko taifa?Anaitwa Inongaaaaaaaa
Ndio inakupeleka league kubwa.