Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Yaaah tulikuwa wabovu sana Leo na hatukucheza vizuri Ila Simba wamecheza vzr ndo maana wameshinda mchezo wa Leo

Tulipanga unbeaten iendelee mpk tuchukue ligi ila imetokea bahati mbaya tumepoteza mchezo wa leo
Kikubwa mjue kuwa hamna team.

Kuhusu swala la unbeaten bado sio kitu cha kuhakikisha maana hata Simba kuna msimu alikuja kutobolewa game ya mwisho.
 
Muwe mbele muwe nyuma we dont care ila nyie ni wabovuu mbele ya Simba
Yaah sisi ni wabovu mbele ya simba.... Hilo tumekubali

Mara ya mwisho klabu ya Yanga kupoteza mchezo ligi kuu dhidi ya Simba SC ilikuwa February 18 mwaka (2019)

.
.
Miaka mitatu sasa imepita rasmi bila Simba kushinda dhidi ya Yanga SC.

▪️2018 - 19 = Simba 1 - 0 Yanga

▪️2019 - 20 = Simba 2 - 2 Yanga
▪️2019 - 20 = Yanga 1 - 0 Simba

▪️2020 - 21 = Yanga 1 - 1 Simba
▪️2020 - 21 = Simba 0 - 1 Yanga

▪️2021 - 22 = Simba 0 - 0 Yanga
▪️2021 - 22 = Yanga 0 - 0 Simba
 
Zawadi ya Milioni Kumi! kwa atakae onesha msimano wa ligi kuu Simba akiwa anaongoza ligi

"Ntatoa Shilingi Milioni kumi kama zawadi kwa yeyote yule atakayefanikisha kunitumia msimamo wa ligi, kama msimu huu Makolo walishawahi kukaa kileleni

"Naruhusu hata kama unao msimamo wa ligi wa uongo,, Yaani hata wa kutunga kichupli ntatoa Ten Milion 🤪🤪"

"Au kama vipi atakaeweza kuugeuza msimamo juu chini, chini juu, Ten ipo palepale kama keshawahi kuishi huko kileleni japo kwa sekunde moja tu msimu huu 🤪🤪"
Wenye Akili huko Hawajaongezeka...! Ni Wawili tu... Kwa Mujibu Wa Manara hata wewe Hamnazo..! Na aliwataja ..mi mjumbe tu ila Nakumbusha tu Maneno Ya Msukule.
 
Kikubwa mjue kuwa hamna team.

Kuhusu swala la unbeaten bado sio kitu cha kuhakikisha maana hata Simba kuna msimu alikuja kutobolewa game ya mwisho.
Yaaah sisi tumekubali hatuna timu na hilo limeonekana Leo baada ya Yanga kupoteza game ya Leo na simba kushinda na kuondoka kwa Furaha uwanjani
 
Wenye Akili huko Hawajaongezeka...! Ni Wawili tu... Kwa Mujibu Wa Manara hata wewe Hamnazo..! mi mjumbe tu ila Nakumbusha tu Maneno Ya Msukule.
Kwakuwa hatuna akili na ndio maana tumepoteza mchezo wa Leo na nyie wenye akili kushinda mchezo wa Leo

Hongereni sana
 
Yaaah sisi tumekubali hatuna timu na hilo limeonekana Leo baada ya Yanga kupoteza game ya Leo na simba kushinda na kuondoka kwa Furaha uwanjani
Ubovu wenu na uchakavu wenu upo kwa simbaaai ila huko kwingine nyie endeleeni kuwatetemesha
 
Zawadi ya Milioni Kumi! kwa atakae onesha msimano wa ligi kuu Simba akiwa anaongoza ligi

"Ntatoa Shilingi Milioni kumi kama zawadi kwa yeyote yule atakayefanikisha kunitumia msimamo wa ligi, kama msimu huu Makolo walishawahi kukaa kileleni

"Naruhusu hata kama unao msimamo wa ligi wa uongo,, Yaani hata wa kutunga kichupli ntatoa Ten Milion 🤪🤪"

"Au kama vipi atakaeweza kuugeuza msimamo juu chini, chini juu, Ten ipo palepale kama keshawahi kuishi huko kileleni japo kwa sekunde moja tu msimu huu 🤪🤪"
tupe misimamo ya misimu minne iliopita hapa nakutumia vocha ya buku 10
 
Kwakuwa hatuna akili na ndio maana tumepoteza mchezo wa Leo na nyie wenye akili kushinda mchezo wa Leo

Hongereni sana
Yani nakuhurumia walaaaai huna hoja hahaaaa msiwe na maneno mengi muwe watulivu. Sisi hatuna hofu wenye hofu na mashaka ni nyie kombe hili ni kama dhahabu kwenu mlihitaji mpigane kiume muifunge simba yenye kikosi kibovu na wazee. Hahaaaa daah Topolooo
 
Yaaah sisi tumekubali hatuna timu na hilo limeonekana Leo baada ya Yanga kupoteza game ya Leo na simba kushinda na kuondoka kwa Furaha uwanjani
Tikisa kichwa mkuu😂😂😂😂
 
Ubovu wenu na uchakavu wenu upo kwa simbaaai ila huko kwingine nyie endeleeni kuwatetemesha
Yaaah ni kweli kabisa kwa simba hii Imara kabisa na sisi tulivyo wabovu.....Ni halali tumepoteza mchezo wa Leo

Hongereni sana Simba SC
Nguvu Moya
 
Yaah sisi ni wabovu mbele ya simba.... Hilo tumekubali

Mara ya mwisho klabu ya Yanga kupoteza mchezo ligi kuu dhidi ya Simba SC ilikuwa February 18 mwaka (2019)

.
.
Miaka mitatu sasa imepita rasmi bila Simba kushinda dhidi ya Yanga SC.

▪️2018 - 19 = Simba 1 - 0 Yanga

▪️2019 - 20 = Simba 2 - 2 Yanga
▪️2019 - 20 = Yanga 1 - 0 Simba

▪️2020 - 21 = Yanga 1 - 1 Simba
▪️2020 - 21 = Simba 0 - 1 Yanga

▪️2021 - 22 = Simba 0 - 0 Yanga
▪️2021 - 22 = Yanga 0 - 0 Simba
Kushinda kwako ni ww kwa jinsi unavyoangalia halafu hizi takwimu zenu mnabase kwny ligi kuu hizo nyingine mnazochachafyagwa huo mnakua sio yanga?
 
Yani nakuhurumia walaaaai huna hoja hahaaaa msiwe na maneno mengi muwe watulivu. Sisi hatuna hofu wenye hofu na mashaka ni nyie kombe hili ni kama dhahabu kwenu mlihitaji mpigane kiume muifunge simba yenye kikosi kibovu na wazee. Hahaaaa daah Topolooo
Aisee unanichanganya sana hii Simba INA kikosi kibovu na wazee au simba ni nzuri na Imara sana

Ila kwa vyovyote vile sisi Yanga tunasikitika sana kwa kupoteza game ya leo
 
Kushinda kwako ni ww kwa jinsi unavyoangalia halafu hizi takwimu zenu mnabase kwny ligi kuu hizo nyingine mnazochachafyagwa huo mnakua sio yanga?
Yaaah kwenye ligi sisi ni Invincible kabisa ila Kimataifa huko tunajipanga tukawe Invincible pia

Tunasikitika sana kupoteza mchezo wa Leo na hongereni sana kwa kushinda game yenu
 
Back
Top Bottom