Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Ukubwa na ubora wa Fiston Mayele unedhihilika leo, watu hawajadili kwa nini Mugalu kacheza mechi (11) hana bao hata moja.

Hawajadili kwa nini Sakho, Chama na wengine walipoteana.

Hawajadili kwa nini Simba haijashinda ligi kuu dhidi ya Yanga kwa miaka (03)

Mjadala na shangwe ni MAYELE KUTOFUNGA BAO leo dhidi ya Simba 🙌

Hiyo inatosha kuonesha ni jinsi gani Mayele anavyoogopwa na timu pinzani kiasi kwamba kutofunga kwake bao inatafsirika kuwa si jambo la kawaida 🙌
 
Ukubwa na ubora wa Fiston Mayele unedhihilika leo, watu hawajadili kwa nini Mugalu kacheza mechi (11) hana bao hata moja.

Hawajadili kwa nini Sakho, Chama na wengine walipoteana.

Hawajadili kwa nini Simba haijashinda ligi kuu dhidi ya Yanga kwa miaka (03)

Mjadala na shangwe ni MAYELE KUTOFUNGA BAO leo dhidi ya Simba 🙌

Hiyo inatosha kuonesha ni jinsi gani Mayele anavyoogopwa na timu pinzani kiasi kwamba kutofunga kwake bao inatafsirika kuwa si jambo la kawaida 🙌
bila kumsahau captain boko asiye na goli kwenye ligi... ndio maana ccm itatawala milele hii nchi ya wagigoko.. mijitu mijinga sana
 
Ukubwa na ubora wa Fiston Mayele unedhihilika leo, watu hawajadili kwa nini Mugalu kacheza mechi (11) hana bao hata moja.

Hawajadili kwa nini Sakho, Chama na wengine walipoteana.

Hawajadili kwa nini Simba haijashinda ligi kuu dhidi ya Yanga kwa miaka (03)

Mjadala na shangwe ni MAYELE KUTOFUNGA BAO leo dhidi ya Simba 🙌

Hiyo inatosha kuonesha ni jinsi gani Mayele anavyoogopwa na timu pinzani kiasi kwamba kutofunga kwake bao inatafsirika kuwa si jambo la kawaida 🙌
Mayele ni G.O.A.T
 
bila kumsahau captain boko asiye na goli kwenye ligi... ndio maana ccm itatawala milele hii nchi ya wagigoko.. mijitu mijinga sana
KWELI MAYELE NDIO KIPIMO CHA UBORA WA MABEKI KATIKA LIGI YA TANZANIA. FURAHA WALIYONAYO WANA MSIMBAZI INATHIBITISHA KUWA AMEWATESA SANA KIFIKRA NA KIHISIA KABLA YA MCHEZO HUU. PERFORMANCE YA MAYELE IMEGEUKA KUWA GAIDI WA MIOYO YA WANAMSIMBAZI
 
ANAANDIKA SHAFFIH DAUDA.

Yes Inonga kamdhibiti sana Fiston Mayele asifunge naamini sote tunakubaliana

Tukigeuza sarafu, vipi Chris Mugalu amefunga?? Simply NO! Hatusemi kitu kuhusu defense ya Yanga?

Au ni tunakubaliana kuwa Fiston Mayele ndie straika hatari zaidi nchini?
 
Inaonekana Utopolo mmeumia sana galasa lenu kutofunga. Halafu pamoja na kupania kwa kuingia kambini week nzima na kuambulia draw kwa kweli inauma.
 
➪Hakuna aliyesafiri kwenda Morogoro au Unguja, hakuna mambo mengi ya kizamani bali kila timu imejiandaa vyema

➪Hakuna magumashi kutoka kwa Waamuzi wala wachezaji, kila mtu aliingia kufanya kazi yake kwa usahihi na ukamilifu mkubwa uwanjani

➪Makocha walisomana vyema, wakaingia uwanjani wakagawana vipindi na kila mtu alicheza kwa plan yake nzuri na mechi imekosa tu magoli ila mpira umeonekana

➪Mashabiki wameondoka uwanjani wakiwa wameridhishwa, wachezaji wote wakakumbatiana na kupata picha za pamoja kuonesha mpira ni uungwana

➪Kuna Inonga na Mayele wa dakika 90 kisha kuna Inonga na Mayele wa nje ya dakika 90! Wakasalimiana kiungwana, wakafurahi pamoja na kila Mtu akaenda zake, no hard feelings ni football

➪Taratibu uswahili unaondoka, taratibu usasa unaingia, taratibu taswira ya mpira inakua! Kubadilika kwa Kariakoo ndio kubadilika kwa nchi

🚨Sasa Wananchi mnataka kuchukua bila kufungwa kweli??😀
 
Back
Top Bottom