Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Hivi kaze anamshaurigi nini Nabi? Tangu mechi ya Namungo anapga sub hazieleweki na hafanyi rotation ya kikosi anapanga kwa mazoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misimu yote miwili mliyochukua ubingwa wa Vodacom PL mlikuwa mnatandikwa tu na YANGA bila ya kufurukuta, unaonaje mlipe kisasi cha hicho kichapo kwanza ili muendelee kujifariji kwa ubovu wa YANGA[emoji848][emoji38]Muwe mbele muwe nyuma we dont care ila nyie ni wabovuu mbele ya Simba
Bocco na Mugalu ni vibarua upepo ukijumlisha magoli yao katika ligi msimu huu hata kiatu cha mtoto namba hiyo havaiChico ushindi na makambo ni wafanyakazi hewa
Nakazia aliwahi kutetema mbele ya MAKOLO ngao ya hisani 2021 [emoji16]Ila kumbukumbu zinaonyesha aliwahi kutetema
➪🚨Sasa Wananchi mnataka kuchukua bila kufungwa kweli??😀
Wewe nae umekomaa na Kaze mpka una kera sasaHuyo Fala Kaze Uwezo Wake Mdogo.
Endelea kujipa moyo huku wenzio wakiugulia maumivu ya makalio kwa kuzuia.Mimi Kama shabiki wa Yanga sijaridhishwa na matokeo najiona Kama nimefungwa
Hongera underdog Simba kwa kupata sare
MAKOLOKOLO HOYEEEEEEE [emoji16][emoji2960]Yaah sisi ni wabovu mbele ya simba.... Hilo tumekubali
Mara ya mwisho klabu ya Yanga kupoteza mchezo ligi kuu dhidi ya Simba SC ilikuwa February 18 mwaka (2019)
.
.
Miaka mitatu sasa imepita rasmi bila Simba kushinda dhidi ya Yanga SC.
[emoji3502]2018 - 19 = Simba 1 - 0 Yanga
[emoji3502]2019 - 20 = Simba 2 - 2 Yanga
[emoji3502]2019 - 20 = Yanga 1 - 0 Simba
[emoji3502]2020 - 21 = Yanga 1 - 1 Simba
[emoji3502]2020 - 21 = Simba 0 - 1 Yanga
[emoji3502]2021 - 22 = Simba 0 - 0 Yanga
[emoji3502]2021 - 22 = Yanga 0 - 0 Simba
Huwezi kuwafananisha chico + makambo na mugalu ambaye anaanza first eleven, sometime tukubali mechi kama ya leo anatoka moloko anaingia dg nkane wkt makambo yuko bench na chico yupo hospital..ukifuatilia chico anaumwaga mech ngumu tuBocco na Mugalu ni vibarua upepo ukijumlisha magoli yao katika ligi msimu huu hata kiatu cha mtoto namba hiyo havai
Mugalu amecheza mechi ngapi za ligi mpaka sasa?Huwezi kuwafananisha chico + makambo na mugalu ambaye anaanza first eleven, sometime tukubali mechi kama ya leo anatoka moloko anaingia dg nkane wkt makambo yuko bench na chico yupo hospital..ukifuatilia chico anaumwaga mech ngumu tu
Tushike lipi Inonga beki hodari au Yanga wamepaki bus?Utopolo Kweli nyie ndo Wakuja Kwa Mkapa Kupaki basi namna ile..? Leo Mmeshangaza Sana.
Unasema Invisibo wapi?Yaaah kwenye ligi sisi ni Invincible kabisa ila Kimataifa huko tunajipanga tukawe Invincible pia
Tunasikitika sana kupoteza mchezo wa Leo na hongereni sana kwa kushinda game yenu
Kati ya hizo 12, 7 ni magoli ya kuviziaUSIYEMPENDA KAJA [emoji28][emoji116]View attachment 2206689
E bhana kinyundo penye mshono [emoji375][emoji13]Ukubwa na ubora wa Fiston Mayele unedhihilika leo, watu hawajadili kwa nini Mugalu kacheza mechi (11) hana bao hata moja.
Hawajadili kwa nini Sakho, Chama na wengine walipoteana.
Hawajadili kwa nini Simba haijashinda ligi kuu dhidi ya Yanga kwa miaka (03)
Mjadala na shangwe ni MAYELE KUTOFUNGA BAO leo dhidi ya Simba [emoji119]
Hiyo inatosha kuonesha ni jinsi gani Mayele anavyoogopwa na timu pinzani kiasi kwamba kutofunga kwake bao inatafsirika kuwa si jambo la kawaida [emoji119]
Hao wote tunawatoa na kusajili wachezaji kutoka kwenye hizo timu kubwa ulizozitajaUnasema Invisibo wapi?
Amka ukakojoe usijelowanisha godoro.
Yaani hii Yanga ya akina Fei Toto na Mayele ijipange kuwa invicible kwa akina Zamaleck, Mamelod, RS Berkane nk.
Acha nilale sasa naona mmeishiwa vya kuchat humu
baadae[emoji125][emoji125][emoji125]Na 4-1 hapo baadae.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hao wote tunawatoa na kusajili wachezaji kutoka kwenye hizo timu kubwa ulizozitaja