Yanga SC 0-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa, NBC Premier League

Acha kabisa. Ilitakiwa na sisi tuwapige walau hata bao 3 prisons na hapo ndo ingekuwa afadhali.

Ila mpaka sasa. [emoji848][emoji848] hata sielewi aisee.
Tatu kwa pira bovu mnalocheza, nimeamini ushindi wa Yanga ni wamchongo
 
Chanzo cha mgogoro ni kwamba Nabi anataka share kwenye ile ng'ombe akilaumu kwanini mwalimu aliyesababisha Mayele kujulikana hajapewa chochote kama heshima

Hizo ni za ndani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…