Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga tatu kfc 1
Dakika ya ngapi
Dk 8.0
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyoshi afanyeje sasaNaomba kuuliza,hivi kuna uwezekano timu ya mpira kuigeuza kuwa bendi ya muziki,iendelee kutoa burudani lakini kwa style nyingine?
Mnataka na kocha huyu wamtimue kesho?Hawa KMC wanaanza nyuma vizuri sana wakifika mbele kama hawajui cha kufanya wanaishia kupoteza mipira tu
Very frustrating
Uto wamebahatisha hicho kigoli.
Kumbe mkuu hauna matokeo bhna [emoji23][emoji23][emoji23]Cha tatu au cha pili?
Sio kama,bali anawatafutia goli uo ndo ukweli.Refa kama anawatafutia uto goli
Kumbe mkuu hauna matokeo bhna [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app