Ina niniHii yangaaaa
Sijaangalia mpira ila mambo kama haya najua hayawezi kukosekanaBeki wa Namungo Abdumalik aliyefunga plasta nyeupe Mkononi ndiye mwenye Salio la GSM leo. Fuatilia kuanzia goli la Mayele na Ile kosa ya pili utaelewa
Mdaka mishale leo alianzia bench?Mshale wa moto huoooo
Goli zuri from Kichuya. Ila still wanakufa Namungo hii mechiHaya sasa lingeni na hapo
Kichapo bado kiko palepale.Haya sasa lingeni na hapo
Sawa mtani ila usiwakimbie baadaeFriends of Namungo ndio tunaingia
Kwanza tuna mchezaji wao ambao tumewakopeshaFriends of Namungo ndio tunaingia
Refa kapeta faulo ya wazi waziGoli zuri from Kichuya. Ila still wanakufa Namungo hii mechi
Acha basi[emoji28][emoji28][emoji28]. Kichuya hajapewa mgao au?Beki wa Namungo Abdumalik aliyefunga plasta nyeupe Mkononi ndiye mwenye Salio la GSM leo. Fuatilia kuanzia goli la Mayele na Ile kosa ya pili utaelewa