Yanga SC 2-1 Namungo FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium

Badala ya watu kuleta updates unajadili umbeya mtupu.
Mechi dakika ya ngapi?
Ngapi ngapi?
 
Sure boy na Farid wako kwenye kiwango Bora sana leo
Farid ni mpuuzi sana . Sehemu ya kupiga krosi anajivuta sana kufanya maamuzi. Anaganda mpaka anarudisha mpira nyuma. Angekua Saido pale angekua tayari na assist
 
Farid ni mpuuzi sana . Sehemu ya kupiga krosi anajivuta sana kufanya maamuzi. Anaganda mpaka anarudisha mpira nyuma. Angekua Saido pale angekua tayari na assist
Ukiacha hilo, lakini Leo anaupiga mwingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…