Sio tu Picha, Bali ni Picha uliyowekwa mtandaoni (Twitter) na shirika kubwa la utangazaji kwa sasa nchini Tanzania ambalo juzi tu lilitoka kutoa mpunga mrefu kwa Vilabu kupitia TFF. Mpunga wa haki miliki za Television.Unathibitisha vipi kua inonga alikuwepo kwenye mazoezi ya simba?
Kwa picha?
Mimi nathibitisha kwavile Azam tv ni kituo kikubwa hawawezi kuandika na ku post vitu vya uongo maana wanafatiliwa na watu wengi mpaka viongozi wa Simba wenyewe huwa wafuatilia pia. Je wewe hauwamini Azam tv?Unathibitisha vipi kua inonga alikuwepo kwenye mazoezi ya simba?
Kwa picha?
Naona Unapata Shida "Kuelewa". Ngoja nikutafunie kidogo!wapi tovuti ya kongo ime publish habari kua henock hayupo kwenye kikosi cha timu ya taifa?
Kuna sehemu anataka kuelekea - kuwa tunaanzaje kuamini Azam TV. Kwamba Azam TV sio chombo cha Kuakiamini pale kinapo andika habari za Simba Sc. ila ni chombo cha kukiamini oale kinapoandika habari ya vilabu vingine vyote.Mimi nathibitisha kwavile Azam tv ni kituo kikubwa hawawezi kuandika na ku post vitu vya uongo maana wanafatiliwa na watu wengi mpaka viongozi wa Simba wenyewe huwa wafuatilia pia. Je wewe hauwamini Azam tv?
Sababu kuu mbili zinasupport nadharia ya kuwa Inonga yuko kwenye mazoezi na Simba uwanja wa Bunju:-
1. Hayuko kwenye orodha rasmi ya wachezaji 24 wanao endelea na mazoezi kwenye uwanja wa "mashujaa" kule Congo.
2. Mnamo tarehe 5/10/2021, Azam TV walipost picha latest wakionyesha simba wakiendelea na Mazoezi "bunju". Ninaweza kuamini Azam TV zaidi kuliko maneno ya mtu binafsi kwa sababu
Huu ndio ukweli.Wachezaji wengi wa kigeni waliopo Young Africans ama wamezeeka au hawana kiwango ndiyo maana hawaitwi katika timu zao za Taifa
Huenda ikanufaika huko mbeleni wakichukua ubingwa.Nimemuuliza ndugu yako! Timu yake imefungwa na hao hao wazee. Je timu yake inanufaika vipi na VIJANA?
Enock kaitwa kwenye provisional squad kama Mukoko Tonombe alivyoitwa kwenye provisional squad mwezi May 2021.
[
Mayele
Djuma
Bangala
Mukoko
Tuisila
Wote hawa walikuwa Wanaitwa kwenye timu ya Taifa wakati wapo As vita kwenye mashindano ya CHAN, yaani wachezaji wanaocheza ligi ya ndani, ila ukija kwenye Afcon na world cup Qualifying huwezi kuta hata Tp mazembe au vita club ina wachezaji hata watatu kwenye kikosi chao cha Taifa
Au sioHii timuunayoipamba sio ndio tuliwafunga ππππHebu acheni Usimba na Uyanga ...huo no ushabiki tu ...be realistic !
Ligi yetu ni changa Sana kisoka,Ila Kuna Simba na Yanga zinalipa vizuri,kwa sababu Kuna wafadhili wachumia tumbo!