Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeona lini matokeo ya usajili walioufanya hili dirisha?Mimi sio yanga ila wanafanya vzuri kwenye usajili
Nyie endeleeni na kina Kapama baadae zitaanza lawamaWewe umeona lini matokeo ya usajili walioufanya hili dirisha?
Umeishiwa hoja. Kuna majina mangapi hata watangazaji hawakuwa wanayataja ? Kuna balozi alishawahi kataliwa kisa jina..!! Haishangazi kwa YangaHaitwi Lomalisa Mutambala bali anaitwa Joyce Lomalisa Mutambala kutoka Klabu ya Bravos Do Marquis ya nchini Angola.
Bila shaka Msimu huu mtatengeneza na Jezi za Sketi na Blauzi ili Wanawake ( Binti ) na Beki wenu wa Kushoto Joyce Lomalisa Mutambala aweze Kuzivaa.
Makolo mmekosa cha kukosoa mmeamia kwenye jinaHaitwi Lomalisa Mutambala bali anaitwa Joyce Lomalisa Mutambala kutoka Klabu ya Bravos Do Marquis ya nchini Angola.
Bila shaka Msimu huu mtatengeneza na Jezi za Sketi na Blauzi ili Wanawake ( Binti ) na Beki wenu wa Kushoto Joyce Lomalisa Mutambala aweze Kuzivaa.
kuna mchezaji wao alikuwa anaitwa SelunkumaUmeishiwa hoja. Kuna majina mangapi hata watangazaji hawakuwa wanayataja ? Kuna balozi alishawahi kataliwa kisa jina..!! Haishangazi kwa Yanga
Makolo yanahahaMakolo mmekosa cha kukosoa mmeamia kwenye jina
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Halafu na wewe Popoma acha kuzingua bhana. Utafikiri hujasoma SAUT, chuo kikuu cha Ma genius!Na akina Joyce au?
Yule Kipa wenu Choko Kabwili yupo wapi [emoji1787]Makolo yanahaha
Acheki na hapa
Tanzania yamkataa balozi mpya wa Zambia kutokana na majina yake
Tanzania imeitaarifu Zambia kwamba hawako tayari kumpokea balozi wao mpya kutokana na majina yake kubeba tafsiri isiyokubalika katika jamii ya Watanzania. Balozi huyo mpya anaitwa Mr Musenge Mukuma.www.jamiiforums.com
Mlivyokuwa mapoyoyo mnashangilia majina na mihemko ya wachambuzi uchwara,ngojeni ligi ianze ndiyo mtajua kuwa hamjui kituNyie endeleeni na kina Kapama baadae zitaanza lawama
Subiri dirisha la usajili lifungwe ndio uje hapa kubwabwaja, vinginevyo ni kupoteza muda tu.Nyie endeleeni na kina Kapama baadae zitaanza lawama
Sasa Joyce maana si Furaha kwa kibongo mkuu?Haitwi Lomalisa Mutambala bali anaitwa Joyce Lomalisa Mutambala kutoka Klabu ya Bravos Do Marquis ya nchini Angola.
Bila shaka Msimu huu mtatengeneza na Jezi za Sketi na Blauzi ili Wanawake ( Binti ) na Beki wenu wa Kushoto Joyce Lomalisa Mutambala aweze Kuzivaa.
Tumekusikia Da Joy.Sasa Joyce maana si Furaha kwa kibongo mkuu?
Tatizo liko wapi?
Kwa JoyceSema mtani hataki mchezo kajipanga
Ooh bwana mahangaiko umenisikia eeTumekusikia Da Joy.
wakumbuke na wao washakuwa na mchezaji anaitwa SelunkumaMakolo yanahaha
Acheki na hapa
Tanzania yamkataa balozi mpya wa Zambia kutokana na majina yake
Tanzania imeitaarifu Zambia kwamba hawako tayari kumpokea balozi wao mpya kutokana na majina yake kubeba tafsiri isiyokubalika katika jamii ya Watanzania. Balozi huyo mpya anaitwa Mr Musenge Mukuma.www.jamiiforums.com
Safari hii wale mashabiki mamluki, na mwenye mihemko viongozi wa Simba SC wamewapatia sana..!Hahahaha mashabiki bwana yani mnavyoonge ni kama mmesajili kikosi hatari sana hapa Africa, kuna namna mpira utakuja kuwapunguzia expectations zenu hasa huko kimataifa.
Muda ni mwalimu mzuri.
Huyo kuja kuona comment yake mpaka tena mpaka Yanga ishindeHivi dirisha la usajili linafungwa lini? Hivi vipost vyenu vya kijinga mtakuja kuvifuta ligi ikishachanganya.