MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #61
Tatizo Joyce Lomalisa.Sasa Joyce maana si Furaha kwa kibongo mkuu?
Tatizo liko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Joyce Lomalisa.Sasa Joyce maana si Furaha kwa kibongo mkuu?
Tatizo liko wapi?
Tulikuwa nae, ila nanyi sasa mna Joyce.wakumbuke na wao washakuwa na mchezaji anaitwa Selunkuma
Na akina Joyce.Ni kweli, kajiandaa kweli kweli
Kwa kuwa na Dada Joyce au?Umetisha mwananchi
Sawa Dada Joyce.Jina si hoja
Hujui kama huyo ni Mental Case Ndugu?Una maisha kwanza, au ndo hivyo unasukuma tu siku? Maana hoja kama hizi haziletwi na watu walioserious na maisha.
Sina cha kukujibu.
Jiwe limekupata baraabara. Mimi Kama Sina maisha wewe pamoja boys mwenzio aliyea zisha huu Uzi wa kiboya ndiyo hoe have choka mbaya, maana mwenye maisha hawezi kuja na Uzi Kama huuUna maisha kwanza, au ndo hivyo unasukuma tu siku? Maana hoja kama hizi haziletwi na watu walioserious na maisha.
Sina cha kukujibu.
Ila watoto wa Utopolo wanajua kubong'oa hadi rahaSimba nao wako vizuri wameleta kademu kanaitwa Habiba kiyondo anakuja kuungana na demu la kudumu pale msimbazi Aisha mwana wa kumanula.
Nimeshakwambia siwezi kukaa kijibishana pasipo na hoja ya msingi ila bado huelewi, ngoja niiweke vizuri.Jiwe limekupata baraabara. Mimi Kama Sina maisha wewe pamoja boys mwenzio aliyea zisha huu Uzi wa kiboya ndiyo hoe have choka mbaya, maana mwenye maisha hawezi kuja na Uzi Kama huu
Nahisi badala ya Mrs David this time jezi itaitwa Joyce[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2287911
Sina shaka na kikutokacho maana ndicho uishicho Kapuku bwegeNimeshakwambia siwezi kukaa kijibishana pasipo na hoja ya msingi ila bado huelewi, ngoja niiweke vizuri.
Sipo humu kubishana na makapuku.
Narudia tena sina kawaida ya kubishana na masikini sehemu yoyote ile, labda kama kushaurina au kaleta hoja ya msingi tujadili, ila swala la kubishana nae ni kujishushia heshima yangu tu.Sina shaka na kikutokacho maana ndicho uishicho Kapuku bwege
Ningekuona wa maana ungekaa kimya, kwa kuwa umechagua kujibizana level yako Ni maskini tu km maskini wenzio period.Narudia tena sina kawaida ya kubishana na masikini sehemu yoyote ile, labda kama kushaurina au kaleta hoja ya msingi tujadili, ila swala la kubishana nae ni kujishushia heshima yangu tu.
Wewe tafuta masikini wenzako huko upunguze hizo stress za kuparamia watu hovyo.
😂😂😂Ningekuona wa maana ungekaa kimya, kwa kuwa umechagua kujibizana level yako Ni maskini tu km maskini wenzio period.
Ni kukosa akili mtu kuanzisha thread kujadili jina la mtu mwingine.Haitwi Lomalisa Mutambala bali anaitwa Joyce Lomalisa Mutambala kutoka Klabu ya Bravos Do Marquis ya nchini Angola.
Bila shaka Msimu huu mtatengeneza na Jezi za Sketi na Blauzi ili Wanawake ( Binti ) na Beki wenu wa Kushoto Joyce Lomalisa Mutambala aweze Kuzivaa.