Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Safari hii dada Joy atapigwa madole sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu usajili ni muhimu kwa Utopolo, hasa baada ya Kabwili kutemwaYanga wako vizuri. Wamesajili videmu viwili vipisi kali Joyce na Aziza
Kwani hata akiitwa Anna au Esta inazuia nini yeye ku perform?Haitwi Lomalisa Mutambala bali anaitwa Joyce Lomalisa Mutambala kutoka Klabu ya Bravos Do Marquis ya nchini Angola.
Bila shaka Msimu huu mtatengeneza na Jezi za Sketi na Blauzi ili Wanawake ( Binti ) na Beki wenu wa Kushoto Joyce Lomalisa Mutambala aweze Kuzivaa.
Ni Joy mkuu..hiyo joyce unampendelea sanaaSawa Dada Joyce.
GSM watatengeneza sana Pedi ( Sodo ) Msimu huu ili akina Joyce na Loma Lisa wawe wanazitumia pale wakiwa Hedhini.Joyce Loma Lisa Yani anamajina mawili ya kike
Perfect kabwili replacementGSM watatengeneza sana Pedi ( Sodo ) Msimu huu ili akina Joyce na Loma Lisa wawe wanazitumia pale wakiwa Hedhini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Da Joy atakua anatembeza ball left wings.Usiseme Joyce lomalisa sema mtaalamu wa soka , maestroo octupas joyce alveira de santos paquetas de lomalisa oyoo wananchi [emoji617] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji471][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Usajiri upi?Mimi sio yanga ila wanafanya vzuri kwenye usajili
Mlongo msajiri na vadala? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makolo yanahaha
Acheki na hapa
Tanzania yamkataa balozi mpya wa Zambia kutokana na majina yake
Tanzania imeitaarifu Zambia kwamba hawako tayari kumpokea balozi wao mpya kutokana na majina yake kubeba tafsiri isiyokubalika katika jamii ya Watanzania. Balozi huyo mpya anaitwa Mr Musenge Mukuma.www.jamiiforums.com
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumekusikia Da Joy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufaaaaaaMwakalebela akimuelezea JOYCE MONALISA [emoji116][emoji116]View attachment 2287726
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kuona umri umeenda ikabidi achukue cheti cha dada yake ili awahadae mazuzu ila yanga kweli ni nyumbu.
Mapunga ndo yako huko jangwan, mmemchukua shost ake kabwili, ili asiwe mpwekeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba mmekuwa mapuga, WATU wanasajiri wachezaji nyie mnachambua majina[emoji23]. Trh 8 utamjua huyo Joyce ww puga la tarime.
Na nyie Aziza kidawaNa nyie mmeamua mumchukue Habiba
Kufahamu kuwa hauna Akili mno au?Nilijua mtu anayeanzisha post za namna hii ana akili za namna gani; jibu hili linatosha sana kukufahamu.
Ficha upumbavu wako; mtu mwenye akili timamu huwezi kufungua thread kujadili jina la mtu. Makabalia mbalimbali na mataifa mbalimbali wanatumia majina tofauti. Tanzania tuna majina mengi ya ajabu lakini huyaoni kwa mfano akina Mapunda, Sokoine, Pombe Magufuli, Kakobe, Masamaki, Katembo, Makamba, Kuwayawaya, Makundi, Masilingi, na wengineo na tunayatumia bila kushangaa; jina ni identification tu. Hata wanawake kuna wanautumia majina ambayo sehemu nyingine ni ya wanaume kwa mfano Hillary Clinton ni mwanamke lakini pia tuna Charles Hillary mwananume, au kuna akina Morgan Radford mwanamke ambapo pia kuna Morgan Freeman akiwa ni mwanamme. Shida yako ni nini kama siyo upumbavu unaokusumbua kufikia kukaa na kuanzisha thread ya kujadili jina la mtu anayetokea nchi nyingine kabisa ambako hujui lugha yake au destruli zao na wala huna uhakika kuwa huko kwao Joyce ni jina la kiume.Kufahamu kuwa hauna Akili mno au?
Sawa Da Joi. Unatumia Pedi gani Dada?Ficha upumbavu wako; mtu mwenye akili timamu huwezi kufungua thread kujadili jina la mtu. Makabalia mbalimbali na mataifa mbalimbali wanatumia majina tofauti. Tanzania tuna majina mengi ya ajabu lakini huyaoni kwa mfano akina Mapunda, Sokoine, Pombe Magufuli, Kakobe, Masamaki, Katembo, Makamba, Kuwayawaya, Makundi, Masilingi, na wengineo na tunayatumia bila kushangaa; jina ni identification tu. Hata wanawake kuna wanautumia majina ambayo sehemu nyingine ni ya wanaume kwa mfano Hillary Clinton ni mwanamke lakini pia tuna Charles Hillary mwananume, au kuna akina Morgan Radford mwanamke ambapo pia kuna Morgan Freeman akiwa ni mwanamme. Shida yako ni nini kama siyo upumbavu unaokusumbua kufikia kukaa na kuanzisha thread ya kujadili jina la mtu anayetokea nchi nyingine kabisa ambako hujui lugha yake au destruli zao na wala huna uhakika kuwa huko kwao Joyce ni jina la kiume.
Jinga kabisa wewe.