Yanga SC kwanini Jina la Mwanzo la huyu Mchezaji wenu Mpya Mkongomani mnalikwepa kulitaja?

Yanga SC kwanini Jina la Mwanzo la huyu Mchezaji wenu Mpya Mkongomani mnalikwepa kulitaja?

Haitwi Lomalisa Mutambala bali anaitwa Joyce Lomalisa Mutambala kutoka Klabu ya Bravos Do Marquis ya nchini Angola.

Bila shaka Msimu huu mtatengeneza na Jezi za Sketi na Blauzi ili Wanawake ( Binti ) na Beki wenu wa Kushoto Joyce Lomalisa Mutambala aweze Kuzivaa.
Kwani hata akiitwa Anna au Esta inazuia nini yeye ku perform?
 
Shangazi kaja
IMG_20220713_183323.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Usiseme Joyce lomalisa sema mtaalamu wa soka , maestroo octupas joyce alveira de santos paquetas de lomalisa oyoo wananchi [emoji617] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji471][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Da Joy atakua anatembeza ball left wings.
Wacha wee,
 
Mimi sio yanga ila wanafanya vzuri kwenye usajili
Usajiri upi?
Joyce.
Kambole
Bigirimana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauko serious.
 
Baada ya kuona umri umeenda ikabidi achukue cheti cha dada yake ili awahadae mazuzu ila yanga kweli ni nyumbu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simba mmekuwa mapuga, WATU wanasajiri wachezaji nyie mnachambua majina[emoji23]. Trh 8 utamjua huyo Joyce ww puga la tarime.
Mapunga ndo yako huko jangwan, mmemchukua shost ake kabwili, ili asiwe mpwekeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kufahamu kuwa hauna Akili mno au?
Ficha upumbavu wako; mtu mwenye akili timamu huwezi kufungua thread kujadili jina la mtu. Makabalia mbalimbali na mataifa mbalimbali wanatumia majina tofauti. Tanzania tuna majina mengi ya ajabu lakini huyaoni kwa mfano akina Mapunda, Sokoine, Pombe Magufuli, Kakobe, Masamaki, Katembo, Makamba, Kuwayawaya, Makundi, Masilingi, na wengineo na tunayatumia bila kushangaa; jina ni identification tu. Hata wanawake kuna wanautumia majina ambayo sehemu nyingine ni ya wanaume kwa mfano Hillary Clinton ni mwanamke lakini pia tuna Charles Hillary mwananume, au kuna akina Morgan Radford mwanamke ambapo pia kuna Morgan Freeman akiwa ni mwanamme. Shida yako ni nini kama siyo upumbavu unaokusumbua kufikia kukaa na kuanzisha thread ya kujadili jina la mtu anayetokea nchi nyingine kabisa ambako hujui lugha yake au destruli zao na wala huna uhakika kuwa huko kwao Joyce ni jina la kiume.

Jinga kabisa wewe.
 
Ficha upumbavu wako; mtu mwenye akili timamu huwezi kufungua thread kujadili jina la mtu. Makabalia mbalimbali na mataifa mbalimbali wanatumia majina tofauti. Tanzania tuna majina mengi ya ajabu lakini huyaoni kwa mfano akina Mapunda, Sokoine, Pombe Magufuli, Kakobe, Masamaki, Katembo, Makamba, Kuwayawaya, Makundi, Masilingi, na wengineo na tunayatumia bila kushangaa; jina ni identification tu. Hata wanawake kuna wanautumia majina ambayo sehemu nyingine ni ya wanaume kwa mfano Hillary Clinton ni mwanamke lakini pia tuna Charles Hillary mwananume, au kuna akina Morgan Radford mwanamke ambapo pia kuna Morgan Freeman akiwa ni mwanamme. Shida yako ni nini kama siyo upumbavu unaokusumbua kufikia kukaa na kuanzisha thread ya kujadili jina la mtu anayetokea nchi nyingine kabisa ambako hujui lugha yake au destruli zao na wala huna uhakika kuwa huko kwao Joyce ni jina la kiume.

Jinga kabisa wewe.
Sawa Da Joi. Unatumia Pedi gani Dada?
 
Back
Top Bottom