Yanga SC kwanini Jina la Mwanzo la huyu Mchezaji wenu Mpya Mkongomani mnalikwepa kulitaja?

 
Aah Da Joy wowowo umeumbika, kishundu mbinuko kama chote
Hiyo post uliyoni quote naomba uifute nilikusudia kuandika bwana...ikajiandika mbwa plz nime edit ni vibaya kumuita mtu jina la mnyama...sorry mkuu haikuwa kusudi langu
 
Umetisha mwananchi
 
Popoma na mbumbumbu wenzako
 
Jina si hoja
 
Halafu na wewe Popoma acha kuzingua bhana. Utafikiri hujasoma SAUT, chuo kikuu cha Ma genius!

Yaani unaoneana una mwili mkubwa! Halafu akili kisoda.
Huyu popoma Ni muongo muongo tu Hana lolote alijualo, hiyo SAUT ya kijiwe Cha kahawa labda
 
Simba nao wako vizuri wameleta kademu kanaitwa Habiba kiyondo anakuja kuungana na demu la kudumu pale msimbazi Aisha mwana wa kumanula.
Una maisha kwanza, au ndo hivyo unasukuma tu siku? Maana hoja kama hizi haziletwi na watu walioserious na maisha.

Sina cha kukujibu.
 
Mfano wako uliouweka unakuhukumu, tanzania ilimkataa sababu ya jina ila yanga hawakujali jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…