Yanga SC wamefanikiwa 100% kwa hii 'Unbeaten Record' yao na 'Propaganda' madhubuti

Yanga SC wamefanikiwa 100% kwa hii 'Unbeaten Record' yao na 'Propaganda' madhubuti

Ndio maana wanabaki mabingwa wa hapahapa~bahati mbaya kitu cha mwananchi hakijawahi kufaulu kwa muendelezo,muda utasema
 
Akina GENTAMYCINE tukiwa tunasema kuwa kwa sasa Klabu ya Yanga imejipanga vyema hasa kwa upande wa Propaganda muwe mnaelewa/mnatuelewa.

Ukweli ni kwamba Yanga SC siyo wapumbavu kama labda ambavyo tunaweza kudhani kwa wao kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao katika Ligi Kuu ya NBC nchini Tanzania.

Yanga SC ambao GENTAMYCINE kama mwamba na mbobezi wa propaganda nawapongeza kwa hili, kwani ili kuonyesha kuwa wamedhamiria lengo lao litimie, hivi karibuni walikuja na kampeni ya kumpongeza Kocha wao Mkuu Nabi dakika ya 43 na kesho wakiwa pale CCM Kirumba Mwanza wakicheza na Geita Gold FC ikifika dakika ya 44 watasimama safari hii kuwapongeza wachezaji wao.

Ukweli ni kwamba kwa Yanga SC kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao wameshafanikiwa kwa mafanikio ya kimatokeo ya uwanjani. Kwani tayari hata waamuzi wote watakaowachezesha katika mechi zao za Ligi Kuu wameshaingiwa na uwoga na wao hii 'Unbeaten Record' ipo vichwani mwao.

Hivyo iwe isiwe hawatathubutu kuruhusu Yanga SC ipoteze mechi (ifungwe) mbele yao na watakachokifanya ni kuhakikisha wanaibeba ishinde na kama ikishindikana basi watoke (itoke) sare/suluhu, ila siyo kufungwa ili kujiepusha na lawama ya kuharibu rekodi yao.

Kuna siku hapa hapa GENTAMYCINE nilisema kuwa, Klabu ya Simba imelala na imepwaya mno katika kufanya propaganda na hakina kitengo thabiti cha propaganda (hasa kwa mpira wa Tanzania), lakini kama kawaida sikueleweka. Ila ipo siku tu mtakuwa mnanielewa na kuungana nami kifikra, kimawazo na kimtizamo.

Kwa ambao mnadhani na kujidanganya kuwa ndani ya hii NBC Premier League Klabu ya Yanga itafungwa (itapoteza), mnapoteza muda. Ila kushindwa kwa Yanga SC ni kutoka tu sare/suluhu na kama ni kufungwa basi watafungwa katika Michuano ya CAFCC (ya kimataifa) ambayo huko propaganda yake bado hawajaiwezea/hawajaimudu.

Ila hata huko pia wakipaweza watakuja kuwa imara kuliko hata Simba SC ambao wana uzoefu mkubwa huko (kimataifa).
Siku hizi Genta kwenye Great Thinking unazidi kuporomoka na kupanda chati kwenye matusi.
Sasa unawasifia au unawakandia kwa ushindi wa propaganda wanaoupata? Unazidi kuwajaza ujinga maana ni sawa na mbwa anayekuwa mkali ndani ya ua lakini akitolewa nje ankunja mkia makalioni.

Hii ni kama unawasema kimafumbo. Haya sijui wanachukuliaje Utopolo wenyewe.
 
GENTA,

Simba kwenye kitengo cha propaganda wamewapatia njaakalihatari na OKW BOBAN SUNZU sidhani kama upo sahihi kusema kua kwenye kitengo cha propaganda hamna watu.

Ebu pitia nyuzi za hawa watu ndicho utaamini nachokisema.

Anyways!! Mpira wa propaganda haupo siku hizi, Propaganda zimebaki kwenye siasa.
 
Sasa huku caf wanapoteana vipi?
Linapokuja suala la mashindano ya kimataifa kuna mambo mengi kikosi kizuri tu pekee haitoshi kwa 100%, timu inabidi iwe na DNA ya mashindano husika na iyo kitu uwezi kuinunua inakubidi ushiriki mashindano husika mfululizo ukiwa na focus, unaanguka unainuka unajipukuta vumbi unasubiri msimu unaofata trust me yanga akija kupata DNA ya mashindano ya kimataifa atafanya vzr kuliko simba aliogotea pale pale robo fainali.. uwenda yanga ikawa ndo timu ya kwanza bongo kuingia semi kama sio kuchukua ubingwa kabisa
 
Ndio maana wanabaki mabingwa wa hapahapa~bahati mbaya kitu cha mwananchi hakijawahi kufaulu kwa muendelezo,muda utasema
Uko kwengine tofauti na hapa hapa uyo simba ashawahi kupata ubingwa wa kombe gani ambalo yanga hana?
 
Akina GENTAMYCINE tukiwa tunasema kuwa kwa sasa Klabu ya Yanga imejipanga vyema hasa kwa upande wa Propaganda muwe mnaelewa/mnatuelewa.

Ukweli ni kwamba Yanga SC siyo wapumbavu kama labda ambavyo tunaweza kudhani kwa wao kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao katika Ligi Kuu ya NBC nchini Tanzania.

Yanga SC ambao GENTAMYCINE kama mwamba na mbobezi wa propaganda nawapongeza kwa hili, kwani ili kuonyesha kuwa wamedhamiria lengo lao litimie, hivi karibuni walikuja na kampeni ya kumpongeza Kocha wao Mkuu Nabi dakika ya 43 na kesho wakiwa pale CCM Kirumba Mwanza wakicheza na Geita Gold FC ikifika dakika ya 44 watasimama safari hii kuwapongeza wachezaji wao.

Ukweli ni kwamba kwa Yanga SC kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao wameshafanikiwa kwa mafanikio ya kimatokeo ya uwanjani. Kwani tayari hata waamuzi wote watakaowachezesha katika mechi zao za Ligi Kuu wameshaingiwa na uwoga na wao hii 'Unbeaten Record' ipo vichwani mwao.

Hivyo iwe isiwe hawatathubutu kuruhusu Yanga SC ipoteze mechi (ifungwe) mbele yao na watakachokifanya ni kuhakikisha wanaibeba ishinde na kama ikishindikana basi watoke (itoke) sare/suluhu, ila siyo kufungwa ili kujiepusha na lawama ya kuharibu rekodi yao.

Kuna siku hapa hapa GENTAMYCINE nilisema kuwa, Klabu ya Simba imelala na imepwaya mno katika kufanya propaganda na hakina kitengo thabiti cha propaganda (hasa kwa mpira wa Tanzania), lakini kama kawaida sikueleweka. Ila ipo siku tu mtakuwa mnanielewa na kuungana nami kifikra, kimawazo na kimtizamo.

Kwa ambao mnadhani na kujidanganya kuwa ndani ya hii NBC Premier League Klabu ya Yanga itafungwa (itapoteza), mnapoteza muda. Ila kushindwa kwa Yanga SC ni kutoka tu sare/suluhu na kama ni kufungwa basi watafungwa katika Michuano ya CAFCC (ya kimataifa) ambayo huko propaganda yake bado hawajaiwezea/hawajaimudu.

Ila hata huko pia wakipaweza watakuja kuwa imara kuliko hata Simba SC ambao wana uzoefu mkubwa huko (kimataifa).
Either ni mjinga au una matatizo ya akili mechi zote za yanga unbeaten zipo na kufungwa Yanga atafungwa tu ni suala la mda, wewe kama mshabiki wa Simba mfano wangekua na unbeaten ya mechi 43 usingeongea tuacheni unafki
 
Akina GENTAMYCINE tukiwa tunasema kuwa kwa sasa Klabu ya Yanga imejipanga vyema hasa kwa upande wa Propaganda muwe mnaelewa/mnatuelewa.

Ukweli ni kwamba Yanga SC siyo wapumbavu kama labda ambavyo tunaweza kudhani kwa wao kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao katika Ligi Kuu ya NBC nchini Tanzania.

Yanga SC ambao GENTAMYCINE kama mwamba na mbobezi wa propaganda nawapongeza kwa hili, kwani ili kuonyesha kuwa wamedhamiria lengo lao litimie, hivi karibuni walikuja na kampeni ya kumpongeza Kocha wao Mkuu Nabi dakika ya 43 na kesho wakiwa pale CCM Kirumba Mwanza wakicheza na Geita Gold FC ikifika dakika ya 44 watasimama safari hii kuwapongeza wachezaji wao.

Ukweli ni kwamba kwa Yanga SC kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao wameshafanikiwa kwa mafanikio ya kimatokeo ya uwanjani. Kwani tayari hata waamuzi wote watakaowachezesha katika mechi zao za Ligi Kuu wameshaingiwa na uwoga na wao hii 'Unbeaten Record' ipo vichwani mwao.

Hivyo iwe isiwe hawatathubutu kuruhusu Yanga SC ipoteze mechi (ifungwe) mbele yao na watakachokifanya ni kuhakikisha wanaibeba ishinde na kama ikishindikana basi watoke (itoke) sare/suluhu, ila siyo kufungwa ili kujiepusha na lawama ya kuharibu rekodi yao.

Kuna siku hapa hapa GENTAMYCINE nilisema kuwa, Klabu ya Simba imelala na imepwaya mno katika kufanya propaganda na hakina kitengo thabiti cha propaganda (hasa kwa mpira wa Tanzania), lakini kama kawaida sikueleweka. Ila ipo siku tu mtakuwa mnanielewa na kuungana nami kifikra, kimawazo na kimtizamo.

Kwa ambao mnadhani na kujidanganya kuwa ndani ya hii NBC Premier League Klabu ya Yanga itafungwa (itapoteza), mnapoteza muda. Ila kushindwa kwa Yanga SC ni kutoka tu sare/suluhu na kama ni kufungwa basi watafungwa katika Michuano ya CAFCC (ya kimataifa) ambayo huko propaganda yake bado hawajaiwezea/hawajaimudu.

Ila hata huko pia wakipaweza watakuja kuwa imara kuliko hata Simba SC ambao wana uzoefu mkubwa huko (kimataifa).
Sometimes saa mbovu huwa inasema UKWELI.. leo popoma umeongea point kidogo ila kwa kuwa dish lime yumba, umepuyanga hapo kwenye ishu ya marefa
 
Back
Top Bottom