Yanga SC wamefanikiwa 100% kwa hii 'Unbeaten Record' yao na 'Propaganda' madhubuti

Yanga SC wamefanikiwa 100% kwa hii 'Unbeaten Record' yao na 'Propaganda' madhubuti

Wewe jamaa uliongea Ukweli, baadhi wakapuuzia ,ila Uliona mbali

Yanga mech mbili hiz kachezesha kikos dhaifu na kachukua point 6,

Na hapo nabi alikuwa na sekeseke la kutimuliwa, lakin katumia silaha dhaufu maana anajua kwa NBC haihitaji nguvu kushinda ni propaganda tu,

Wachezaji muhimu wote wamepumzishwa kwa ajiri ya tarehe 2
 
Back
Top Bottom