Kiujumla Yanga wanabebwa wakiwa wanabebeka. Hivi Kwa Jana hata refa angesema anatoa penati angetumia tukio gani?Yote kwa yote bwana GENTAMYCINE,..Yanga wako vizuri uwanjani japo wanakasoro ndogo ndogo, huwezi linganisha na timu nyingine.
Kwa hiyo unataka ndugu yangu apige makofi ikifika dakika ya 19?Leo Genta unatimiza siku 19 bila ban ni ajabu
Sasa huku caf wanapoteana vipi?Yote kwa yote bwana GENTAMYCINE,..Yanga wako vizuri uwanjani japo wanakasoro ndogo ndogo, huwezi linganisha na timu nyingine.
Matukio ya penati yalikuwepo tatizo yalikuwa pande zoteKiujumla Yanga wanabebwa wakiwa wanabebeka. Hivi Kwa Jana hata refa angesema anatoa penati angetumia tukio gani?
Siku hizi Genta kwenye Great Thinking unazidi kuporomoka na kupanda chati kwenye matusi.Akina GENTAMYCINE tukiwa tunasema kuwa kwa sasa Klabu ya Yanga imejipanga vyema hasa kwa upande wa Propaganda muwe mnaelewa/mnatuelewa.
Ukweli ni kwamba Yanga SC siyo wapumbavu kama labda ambavyo tunaweza kudhani kwa wao kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao katika Ligi Kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yanga SC ambao GENTAMYCINE kama mwamba na mbobezi wa propaganda nawapongeza kwa hili, kwani ili kuonyesha kuwa wamedhamiria lengo lao litimie, hivi karibuni walikuja na kampeni ya kumpongeza Kocha wao Mkuu Nabi dakika ya 43 na kesho wakiwa pale CCM Kirumba Mwanza wakicheza na Geita Gold FC ikifika dakika ya 44 watasimama safari hii kuwapongeza wachezaji wao.
Ukweli ni kwamba kwa Yanga SC kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao wameshafanikiwa kwa mafanikio ya kimatokeo ya uwanjani. Kwani tayari hata waamuzi wote watakaowachezesha katika mechi zao za Ligi Kuu wameshaingiwa na uwoga na wao hii 'Unbeaten Record' ipo vichwani mwao.
Hivyo iwe isiwe hawatathubutu kuruhusu Yanga SC ipoteze mechi (ifungwe) mbele yao na watakachokifanya ni kuhakikisha wanaibeba ishinde na kama ikishindikana basi watoke (itoke) sare/suluhu, ila siyo kufungwa ili kujiepusha na lawama ya kuharibu rekodi yao.
Kuna siku hapa hapa GENTAMYCINE nilisema kuwa, Klabu ya Simba imelala na imepwaya mno katika kufanya propaganda na hakina kitengo thabiti cha propaganda (hasa kwa mpira wa Tanzania), lakini kama kawaida sikueleweka. Ila ipo siku tu mtakuwa mnanielewa na kuungana nami kifikra, kimawazo na kimtizamo.
Kwa ambao mnadhani na kujidanganya kuwa ndani ya hii NBC Premier League Klabu ya Yanga itafungwa (itapoteza), mnapoteza muda. Ila kushindwa kwa Yanga SC ni kutoka tu sare/suluhu na kama ni kufungwa basi watafungwa katika Michuano ya CAFCC (ya kimataifa) ambayo huko propaganda yake bado hawajaiwezea/hawajaimudu.
Ila hata huko pia wakipaweza watakuja kuwa imara kuliko hata Simba SC ambao wana uzoefu mkubwa huko (kimataifa).
Mmhh!!!Good thinking
Kwaiyo mikia amekuwa bingwa wap pengineNdio maana wanabaki mabingwa wa hapahapa~bahati mbaya kitu cha mwananchi hakijawahi kufaulu kwa muendelezo,muda utasema
Linapokuja suala la mashindano ya kimataifa kuna mambo mengi kikosi kizuri tu pekee haitoshi kwa 100%, timu inabidi iwe na DNA ya mashindano husika na iyo kitu uwezi kuinunua inakubidi ushiriki mashindano husika mfululizo ukiwa na focus, unaanguka unainuka unajipukuta vumbi unasubiri msimu unaofata trust me yanga akija kupata DNA ya mashindano ya kimataifa atafanya vzr kuliko simba aliogotea pale pale robo fainali.. uwenda yanga ikawa ndo timu ya kwanza bongo kuingia semi kama sio kuchukua ubingwa kabisaSasa huku caf wanapoteana vipi?
Uko kwengine tofauti na hapa hapa uyo simba ashawahi kupata ubingwa wa kombe gani ambalo yanga hana?Ndio maana wanabaki mabingwa wa hapahapa~bahati mbaya kitu cha mwananchi hakijawahi kufaulu kwa muendelezo,muda utasema
Jamaa kufika makundi au robo fainali wanahesabia ni ubingwa.. ukweli ni kwamba bingwa ni anaeshinda game ya fainaliau kuongoza ligi, hakuna ubingwa wa kuingia group stageKwaiyo mikia amekuwa bingwa wap pengine
Either ni mjinga au una matatizo ya akili mechi zote za yanga unbeaten zipo na kufungwa Yanga atafungwa tu ni suala la mda, wewe kama mshabiki wa Simba mfano wangekua na unbeaten ya mechi 43 usingeongea tuacheni unafkiAkina GENTAMYCINE tukiwa tunasema kuwa kwa sasa Klabu ya Yanga imejipanga vyema hasa kwa upande wa Propaganda muwe mnaelewa/mnatuelewa.
Ukweli ni kwamba Yanga SC siyo wapumbavu kama labda ambavyo tunaweza kudhani kwa wao kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao katika Ligi Kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yanga SC ambao GENTAMYCINE kama mwamba na mbobezi wa propaganda nawapongeza kwa hili, kwani ili kuonyesha kuwa wamedhamiria lengo lao litimie, hivi karibuni walikuja na kampeni ya kumpongeza Kocha wao Mkuu Nabi dakika ya 43 na kesho wakiwa pale CCM Kirumba Mwanza wakicheza na Geita Gold FC ikifika dakika ya 44 watasimama safari hii kuwapongeza wachezaji wao.
Ukweli ni kwamba kwa Yanga SC kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao wameshafanikiwa kwa mafanikio ya kimatokeo ya uwanjani. Kwani tayari hata waamuzi wote watakaowachezesha katika mechi zao za Ligi Kuu wameshaingiwa na uwoga na wao hii 'Unbeaten Record' ipo vichwani mwao.
Hivyo iwe isiwe hawatathubutu kuruhusu Yanga SC ipoteze mechi (ifungwe) mbele yao na watakachokifanya ni kuhakikisha wanaibeba ishinde na kama ikishindikana basi watoke (itoke) sare/suluhu, ila siyo kufungwa ili kujiepusha na lawama ya kuharibu rekodi yao.
Kuna siku hapa hapa GENTAMYCINE nilisema kuwa, Klabu ya Simba imelala na imepwaya mno katika kufanya propaganda na hakina kitengo thabiti cha propaganda (hasa kwa mpira wa Tanzania), lakini kama kawaida sikueleweka. Ila ipo siku tu mtakuwa mnanielewa na kuungana nami kifikra, kimawazo na kimtizamo.
Kwa ambao mnadhani na kujidanganya kuwa ndani ya hii NBC Premier League Klabu ya Yanga itafungwa (itapoteza), mnapoteza muda. Ila kushindwa kwa Yanga SC ni kutoka tu sare/suluhu na kama ni kufungwa basi watafungwa katika Michuano ya CAFCC (ya kimataifa) ambayo huko propaganda yake bado hawajaiwezea/hawajaimudu.
Ila hata huko pia wakipaweza watakuja kuwa imara kuliko hata Simba SC ambao wana uzoefu mkubwa huko (kimataifa).
Sometimes saa mbovu huwa inasema UKWELI.. leo popoma umeongea point kidogo ila kwa kuwa dish lime yumba, umepuyanga hapo kwenye ishu ya marefaAkina GENTAMYCINE tukiwa tunasema kuwa kwa sasa Klabu ya Yanga imejipanga vyema hasa kwa upande wa Propaganda muwe mnaelewa/mnatuelewa.
Ukweli ni kwamba Yanga SC siyo wapumbavu kama labda ambavyo tunaweza kudhani kwa wao kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao katika Ligi Kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yanga SC ambao GENTAMYCINE kama mwamba na mbobezi wa propaganda nawapongeza kwa hili, kwani ili kuonyesha kuwa wamedhamiria lengo lao litimie, hivi karibuni walikuja na kampeni ya kumpongeza Kocha wao Mkuu Nabi dakika ya 43 na kesho wakiwa pale CCM Kirumba Mwanza wakicheza na Geita Gold FC ikifika dakika ya 44 watasimama safari hii kuwapongeza wachezaji wao.
Ukweli ni kwamba kwa Yanga SC kuikuza hii 'Unbeaten Record' yao wameshafanikiwa kwa mafanikio ya kimatokeo ya uwanjani. Kwani tayari hata waamuzi wote watakaowachezesha katika mechi zao za Ligi Kuu wameshaingiwa na uwoga na wao hii 'Unbeaten Record' ipo vichwani mwao.
Hivyo iwe isiwe hawatathubutu kuruhusu Yanga SC ipoteze mechi (ifungwe) mbele yao na watakachokifanya ni kuhakikisha wanaibeba ishinde na kama ikishindikana basi watoke (itoke) sare/suluhu, ila siyo kufungwa ili kujiepusha na lawama ya kuharibu rekodi yao.
Kuna siku hapa hapa GENTAMYCINE nilisema kuwa, Klabu ya Simba imelala na imepwaya mno katika kufanya propaganda na hakina kitengo thabiti cha propaganda (hasa kwa mpira wa Tanzania), lakini kama kawaida sikueleweka. Ila ipo siku tu mtakuwa mnanielewa na kuungana nami kifikra, kimawazo na kimtizamo.
Kwa ambao mnadhani na kujidanganya kuwa ndani ya hii NBC Premier League Klabu ya Yanga itafungwa (itapoteza), mnapoteza muda. Ila kushindwa kwa Yanga SC ni kutoka tu sare/suluhu na kama ni kufungwa basi watafungwa katika Michuano ya CAFCC (ya kimataifa) ambayo huko propaganda yake bado hawajaiwezea/hawajaimudu.
Ila hata huko pia wakipaweza watakuja kuwa imara kuliko hata Simba SC ambao wana uzoefu mkubwa huko (kimataifa).
Akiwa kwenye ubora wake [emoji16][emoji38],[emoji23][emoji23] Genta kama GentaView attachment 2400344
Kwasababu ni lidude yaani dubwasha fulani hiviYanga lazima ijadiliwe!
Nyie mna ubingwa wa wapi?Ndio maana wanabaki mabingwa wa hapahapa~bahati mbaya kitu cha mwananchi hakijawahi kufaulu kwa muendelezo,muda utasema