Yanga SC wamefanikiwa 100% kwa hii 'Unbeaten Record' yao na 'Propaganda' madhubuti

Yaliyosemwa na Genius yameonekana dhahiri leo..daahh..aibu
 
Wewe jamaa uliongea Ukweli, baadhi wakapuuzia ,ila Uliona mbali

Yanga mech mbili hiz kachezesha kikos dhaifu na kachukua point 6,

Na hapo nabi alikuwa na sekeseke la kutimuliwa, lakin katumia silaha dhaufu maana anajua kwa NBC haihitaji nguvu kushinda ni propaganda tu,

Wachezaji muhimu wote wamepumzishwa kwa ajiri ya tarehe 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…