Yanga SC yaingia mkataba na GSM wa miaka 5 kutengeneza vifaa vya michezo wenye thamani ya bil 9.1

Yanga SC yaingia mkataba na GSM wa miaka 5 kutengeneza vifaa vya michezo wenye thamani ya bil 9.1

Nitasubiri kuona mashabiki wa Yanga wakidai kuonyeshwa ni katika akaunti ipi hiyo hela imeingizwa kama jinsi ambavyo walidai kuziona hela za MO, ilikuwa ni swala la muda tu wao kumchutamia GSM hasa baada ya kijana wake mtiifu kushika nafasi ya juu zaidi kwenye club.

Mtakaokuja kutetea naombeni mni-crush kwakuleta hiyo account.

Oooh Simba Sc imeuzwa kwa Mo...Oooh Simba Sc ni mali ya ukoo wa Dewji...kikowapi sasa, mtasema ni mkataba wa miaka kadhaa ila mpaka HERSI anatoka madarakani tayari itakuwa mikononi mwao[emoji16]
 
Wakati simba anapga bil 1 kwa mwaka


Mkataba waliongia simba na vunja bei mwaka jana thamani ni bil 2 kwa miaka miwili
Ndo nilitaka yule kilaza anijibu alafu aniambie wao kwa mwaka kwrnye b.2 wanapewa bei gani, maana nimeona kama vile dish lake limeyumba hivi
 
Bilioni 10 kwa miaka 5 ni pesa ndogo sana kwa klabu kama yanga
Wahindi ,Wasomali na waarabu washaijulia Hii Biashara ya mpira Hapa bongo kwa hizi club mbili kubwa (Simba&yanga)

inawalipa Sana Hapa bongo.

Ndo Maana,
Mwamedi umwambuii kitu khs Simba[emoji4]
Ghalibu umwambii kitu khs yanga[emoji4]
Baresa umwambii kitu khs Azam[emoji4]
 
Nitasubiri kuona mashabiki wa Yanga wakidai kuonyeshwa ni katika akaunti ipi hiyo hela imeingizwa kama jinsi ambavyo walidai kuziona hela za MO, ilikuwa ni swala la muda tu wao kumchutamia GSM hasa baada ya kijana wake mtiifu kushika nafasi ya juu zaidi kwenye club.

Mtakaokuja kutetea naombeni mni-crush kwakuleta hiyo account.
Mkuu kwani mkataba huu unaanza kutekelezwa kipindi hiki? Si mpaka msimu ujao. Ila tu naona mambo yale yale ya Simba na Mo yanajirudia kwa Yanga. Kuna maswali mengi mno hapo. Hasa ukizingatia GSM ndio kila kitu kwa Yanga
 
Ndo nilitaka yule kilaza anijibu alafu aniambie wao kwa mwaka kwrnye b.2 wanapewa bei gani, maana nimeona kama vile dish lake limeyumba hivi
Lakini kwanini muingie mkataba wakati jezi mpya zimeshatoka? Ufanisi wa huo mkataba utakuwaje wakat mauzo ya mwzo wa msimu tayari jamaa katia kibindoni? Hapo uto mnakili kweli
 
Mkuu kwani mkataba huu unaanza kutekelezwa kipindi hiki? Si mpaka msimu ujao. Ila tu naona mambo yale yale ya Simba na Mo yanajirudia kwa Yanga. Kuna maswali mengi mno hapo. Hasa ukizingatia GSM ndio kila kitu kwa Yanga
Umeuliza na kujijibu mwenyewe, sina mengine yakuongeza mkuu.
 
Kwa mwaka mnapata mil 300 kama club kama maneno yasemavyo ila tunajua kila 35000 ya jezi club inapata 1300
🚮🚮🚮 ulienda shule lakini wewe au ndo wale wale waliokimbia umande? B.9.1 ukigawa kwa 5 unapata 1300?
 
Lakini kwanini muingie mkataba wakati jezi mpya zimeshatoka? Ufanisi wa huo mkataba utakuwaje wakat mauzo ya mwzo wa msimu tayari jamaa katia kibindoni? Hapo uto mnakili kweli
Ayo ayakuhusu kamuulize kanjibhai wenu kwamba b.20 aliziweka benk gani ukileta jibu ndo utajibiwa la kwako
 
🚮🚮🚮 ulienda shule lakini wewe au ndo wale wale waliokimbia umande? B.9.1 ukigawa kwa 5 unapata 1300?
Soma vizuri line ya mwisho kwa kila 35000 ya jezi ya uto inayouzwa club inapata 1300
Ngoja tuwafungue
 
Daah hersi said wanamtegea sana ila stuken mkiona mna jambo lenu ukakuta kuna mtu katoka msoga inabidi mumtazame kwa ukarbu sana....huu ni wango mtazamo washkaj msijenge chuki
 
Umeuliza na kujijibu mwenyewe, sina mengine yakuongeza mkuu.
Hoja ya ela zimewekwa account haitokuwepo kwasababu bado haijafikia hatua ya utekelezaji. Ila tu najaribu kuwaza nje ya box kwa wawekezaji wa Simba na Yanga.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Pale unapoamua kujiongopea Hadi wewe mwenyewe, GSM alikuwa anatoa gawio la 1300 Kwa kila jezi ambayo itanunuliwa iliyokuwa inafanya Yanga iingize Hadi 45M Kwa msimu

Kipindi hicho Yanga ilikuwa chini ya mwenyekiti Msolwa, maana yake mazungumzo yalikuwa yanafanyika Kati ya viongozi wa club na wazamini ambao ni GSM na wakafanikiwa kutoka na deal la kupata 1300 Kwa kila jezi

Alafu Leo hii Yanga IPO chini ya GSM wenyewe it means mazungumzo wamefanya wenyewe, ndio wafanye ongezeko la kutoka kupata 45M Kwa mwaka hadi almost 1.5B Kwa mwaka

Tuweni wakweli tu kiuhalisia hakuna kitu kama hicho mtu anaweza kufanya, ila kwakuwa tunafanya Kwa kukomoana basi wanataja tu manamba ili kuonesha kwamba udhamini wa Simba ulikuwa ni mdogo

ila kwakuwa tupo Nchi ambayo tunapenda uongo kuliko ukweli acha twende tu, tunasubiri pia Simba waje na mkataba unaosema watapata 20B Kwa miaka 4
 
Back
Top Bottom