Kama MO 29 na MO extraToa mfuko huu weka mfuko huu
Ndo nilitaka yule kilaza anijibu alafu aniambie wao kwa mwaka kwrnye b.2 wanapewa bei gani, maana nimeona kama vile dish lake limeyumba hiviWakati simba anapga bil 1 kwa mwaka
Mkataba waliongia simba na vunja bei mwaka jana thamani ni bil 2 kwa miaka miwili
Kwi kwi kwi imeumia mnavyokotwa hapo utopoloniUyo jamaa ni tahaira ata ajui anachokiongea hapa msisumbuke kumjibu, umbumbuni kuna vilaza kama hawa wengi tu
Wahindi ,Wasomali na waarabu washaijulia Hii Biashara ya mpira Hapa bongo kwa hizi club mbili kubwa (Simba&yanga)Bilioni 10 kwa miaka 5 ni pesa ndogo sana kwa klabu kama yanga
Neno jipya kwangu. Nimeongeza msamiatiDhamani ni Worth Thamani ni Value kwenye mkataba inatumika worth sio value ume elewa?
Mkuu kwani mkataba huu unaanza kutekelezwa kipindi hiki? Si mpaka msimu ujao. Ila tu naona mambo yale yale ya Simba na Mo yanajirudia kwa Yanga. Kuna maswali mengi mno hapo. Hasa ukizingatia GSM ndio kila kitu kwa YangaNitasubiri kuona mashabiki wa Yanga wakidai kuonyeshwa ni katika akaunti ipi hiyo hela imeingizwa kama jinsi ambavyo walidai kuziona hela za MO, ilikuwa ni swala la muda tu wao kumchutamia GSM hasa baada ya kijana wake mtiifu kushika nafasi ya juu zaidi kwenye club.
Mtakaokuja kutetea naombeni mni-crush kwakuleta hiyo account.
Lakini kwanini muingie mkataba wakati jezi mpya zimeshatoka? Ufanisi wa huo mkataba utakuwaje wakat mauzo ya mwzo wa msimu tayari jamaa katia kibindoni? Hapo uto mnakili kweliNdo nilitaka yule kilaza anijibu alafu aniambie wao kwa mwaka kwrnye b.2 wanapewa bei gani, maana nimeona kama vile dish lake limeyumba hivi
Umeuliza na kujijibu mwenyewe, sina mengine yakuongeza mkuu.Mkuu kwani mkataba huu unaanza kutekelezwa kipindi hiki? Si mpaka msimu ujao. Ila tu naona mambo yale yale ya Simba na Mo yanajirudia kwa Yanga. Kuna maswali mengi mno hapo. Hasa ukizingatia GSM ndio kila kitu kwa Yanga
🚮🚮🚮 ulienda shule lakini wewe au ndo wale wale waliokimbia umande? B.9.1 ukigawa kwa 5 unapata 1300?Kwa mwaka mnapata mil 300 kama club kama maneno yasemavyo ila tunajua kila 35000 ya jezi club inapata 1300
Ayo ayakuhusu kamuulize kanjibhai wenu kwamba b.20 aliziweka benk gani ukileta jibu ndo utajibiwa la kwakoLakini kwanini muingie mkataba wakati jezi mpya zimeshatoka? Ufanisi wa huo mkataba utakuwaje wakat mauzo ya mwzo wa msimu tayari jamaa katia kibindoni? Hapo uto mnakili kweli
Kwahiyo ulivyopiga hesabu bilion 9.1 ukigawanya kwa 5 unapata milioni 300? Kumbe kuna watu hadi wliokimbia somo la hesabuKwa mwaka mnapata mil 300 kama club kama maneno yasemavyo ila tunajua kila 35000 ya jezi club inapata 1300
Soma vizuri line ya mwisho kwa kila 35000 ya jezi ya uto inayouzwa club inapata 1300🚮🚮🚮 ulienda shule lakini wewe au ndo wale wale waliokimbia umande? B.9.1 ukigawa kwa 5 unapata 1300?
Kwani iyo bil 9.1 hapo uto wazee wa salamander tower wameiweka benki gani ?Ayo ayakuhusu kamuulize kanjibhai wenu kwamba b.20 aliziweka benk gani ukileta jibu ndo utajibiwa la kwako
Hoja ya ela zimewekwa account haitokuwepo kwasababu bado haijafikia hatua ya utekelezaji. Ila tu najaribu kuwaza nje ya box kwa wawekezaji wa Simba na Yanga.Umeuliza na kujijibu mwenyewe, sina mengine yakuongeza mkuu.