Mechi ya Tabora Boys mlisema kukosekana kwa Baka na Dickson kumewagharimu. Leo wamecheza, unataja wengine. Basi kauli kama hizi tutaendelea kuzisikia maana si rahisi kuwa na wachezaji wote 30 wakawa katika uwezo wa kutumikaMajeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Huyo achana nae mama yake marehemu ila bado anawakejeli akina mama ni mental caseNilitaka kuandika kitu fulani...... au basi; nimeghairi.
Yanga inatibu mguu badala ya kichwa,yanga haitasimama kamwe Hadi injinia atakapo acha kiburi na kuamua kuwashirikisha wale waliomsaidia kupata ubingwa kipindi yanga ipo dhohofu kwa miaka minne hao naamini wanamajibu.Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi
Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo
Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno
Yanga bingwa
Nani akuombee? HahahaHakika mkuu
Tuombeane heri
Mzee huu ni unafiki,uzuri wa kocha umejuaje?Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi
Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo
Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno
Yanga bingwa
Sisi tunaojua Mpira tunajua yanga atarudi njia kuu mda si mrefu kwasababu tatizo la yanga kwa sasa linarekebishika na litapatiwa ufumbuzi mda si mrefuMchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi
Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo
Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno
Yanga bingwa
Kwani yanga alipoteza mechi ngapi ugenini tuanzie hapo!Mlitabiri Simba haitashinda game 5 mfululizo mkasahau kutabiri timu yenu itafungwa game 3 mfululizo, na kuendelea.
Yanga hiyo unayosema inafanya vizuri ugenini ni ipi hiyo? Msimu uliopita mlifungwa na CRB na Al Ahly, mkatoka droo na wale waghana. Mkatoka droo na Mamelodi. Hamkushinda mechi hata moja ugenini.
Soma tena nilichoandika utaweza kujijibu swali lako.Kwani yanga alipoteza mechi ngapi ugenini tuanzie hapo!
Maisha yanaenda kasi sana! Sisi ndiyo wa kuishi kwa matumain kama makolo😂😀Mchezo ulikuwa mzuri
Mchezo umetuachia somo
Huko mbele tunapoenda tucheze vipi
Majeruhi ya Aucho, Mzizie na Boka yametugharimu sana
Coach ni mzuri nadhani hajaijua timu vizuri anahitaji muda
Yanga kawaida mechi za kimataifa Huwa tunafanya vyema ugenini zaidi
Tushikamane wananchi
Tutashinda game zijazo
Wale wanaoshiriki mashindano ya akina mama msimalize maneno
Yanga bingwa
Sasa wewe uongelei Mpira bali unaleta siasa kwenye Mpira huo msimu ulioisha labda kama Mangungu na Try again ndio wameumalizaSoma tena nilichoandika utaweza kujijibu swali lako.
Mnaenda kufungwa tena na wale waarabu wengine hapo hapo kwa Mkapa. Msimu wenu ushaisha, ndani na kimataifa.