Tatizo kimoProgress inaonekana na urejeo wa mzize na aucho Kuna kitu kimeongezeka,,bado eneo la kibabage Lina changamoto sana ata krossi iliyozaa bao la Leo pia imetokea upande huo,,umakini tu Leo umekosekana kwenye final ya yanga ilikuwa yanga ashinde hii mechi,,point Moja ya Leo ni muhimu sana kwa yanga anatakiwa aokote point zote 6 za kwa mkapa kama anataka kusonga mbele,,mechi ya Mc alger dhidi ya Al hilal itatoa picha kamili ya kundi
Point 1 ya CAFCL ni sawa na points 9 za mashindano ya akina mamaPoint 1 imekurudisha hewani
Safari yenu imeishia hapo
Msimamo utaisha hivi hivi kama ambavyo ulivyokuwa saizi.
Kama ambavyo inavyowashangaza kushika mkiaYanga bingwa
Yanga ni timu ya kuwashangaza
Club bingwa sio sawa na mashindano yenu ya UMISETAKama ambavyo inavyowashangaza kushika mkia
Tp Mazembe kafungiwa kusajili tangu mwaka jana.Point 1 ya CAFCL ni sawa na points 9 za mashindano ya akina mama
Uje ukumbushie enzi zako za kula sebene lenye vibe kama lote au umeshesahau mara hii jamani.....hahahh🤣😀😅
Kila heri kesho huko vikobani
Club Bingwa kwa sasa imetiwa najisi na sasa uhondo wote upo shirikisho.Club bingwa sio sawa na mashindano yenu ya UMISETA
Tp Mazembe Imefungwa lakini inacheza CAFCL group stageTp Mazembe kafungiwa kusajili tangu mwaka jana.
Na isitoshe key players watano waliokuwa wanaanza 1st eleven waliondoka.
Lakini hiyo peke yake bado haijatosha kuwafanya mpate point 3.
Tp Mazembe kwa sasa ni bora kuliko Gongowazi imeweza ku maintain kupata point 2 katika mazingira magumu ya kikwazo.
Timu zote ambazo hazikustahili kushiriki hiyo michuano zitaondoshwaTp Mazembe Imefungwa lakini inacheza CAFCL group stage
5imba isiyofungiwa ipo mashindano ya akina mama
😅😀🤣Club Bingwa kwa sasa imetiwa najisi na sasa uhondo wote upo shirikisho.
Ilipo Simba ndipo uhondo ulipo, Simba kwa sasa ndio ingredientes yenye kutoa flavour kwenye tournament ambayo kila host angependa kuona mvuto wa mashindano yake.
Shirikisho ni aibuTimu zote ambazo hazikustahili kushiriki hiyo michuano zitaondoshwa
Na mpaka sasa uelekeo ni mzuri.
Yani hiyo 1 mliyoipata mngepiga leo nayo picha kabisa.😅😀🤣
Kweli Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Ilikuwa aibu wakati wewe ni mshiriki.Shirikisho ni aibu
Hayo mashindano ya Namungo
5imba ndo mnatamba nayo
We ongelea kesho vikoba, Yanga inacheza CAFCLYani hiyo 1 mliyoipata mngepiga leo nayo picha kabisa.
Sambamba na Mpumelelo kwenye goli lake.
Utashinda sawa muda huo wenzio wanahitaji point nne nne tu wafuzu.Hata akishinda yeyote yule au hata watoke sara lakini kinachotakiwa kwa Yanga ni kushinda mechi zake zote tatu zilizobakia.
Wakiyafuta Hayo mashindano ya akina mamaIlikuwa aibu wakati wewe ni mshiriki.
Na ndio maana CAF walifikiria kuyafuta.
Lakini sisi ndio tumekuja huku kuyanusuru kwa kurudisha heshima ambayo miaka miwili ilikuwa imepotea kutokana na timu za daraja za chini kufanya najisi.
Inacheza CAFCL au inashiriki?We ongelea kesho vikoba, Yanga inacheza CAFCL
Ukishiriki hucheziInacheza CAFCL au inashiriki?
Simba kacheza mashindano yenye hadhi kubwa kuliko Gongowazi.Wakiyafuta Hayo mashindano ya akina mama
5imba mtacheza mashindano Gani
Kumbuka na mapinduzi cup imefutwa