Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kupitia ukurasa wao wa Twitter, klabu ya Yanga imetoa tangazo kuelekea Nigeria siku ya Ijumaa na Kurudi Jumapili baada ya mechi.

Yanga wamewaomba mashabiki wao kuwasapoti kwenda Nigeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Rivers United kupitia ATCL.

Sasa mtu atatoaje kiasi chote cha hela halafu hatoweza kuingia uwanjani kwaajili ya kucheki mechi, hii ni kama wamechanganyikiwa nadhani!

Na baada ya mechi ya Rivers, kituo kinachofata ni Lupaso, Kwa Mkapa dhidibya Simba nadhani ndo wanazidi kupoteana!!

Yanga acheni janja janja😂😂😂

2EA9B7BA-2FF4-484A-9C76-13536D466941.jpeg
 
Viongozi wana matatizo ya kuwahadaa kila siku mashabiki wao na kuwaona wote misukule. Caf imeshatangaza hakuna washabiki kuingia kushangilia hatua hii ya awali, sasa hao mashabiki wanataka waende kutali tu huko kwa ndg zake Kapumbu wa Nigeria?
 
Viongozi wana matatizo ya kuwahadaa kila siku mashabiki wao na kuwaona wote misukule. Caf imeshatangaza hakuna washabiki kuingia kushangilia hatua hii ya awali, sasa hao mashabiki wanataka waende kutali tu huko kwa ndg zake Kapumbu wa Nigeria?
😀😀😀 Uongozi ushabaini kuwa mashabiki zao hamna kitu kichwani
 
Back
Top Bottom