Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Mimi nilihisi ni uongo sikutaka kutia neno mpaka niingie official page ya Yanga. Nikakuta tangazo liko hivi hivi. Yaani viongozi wamekuwa weupe vichwani mpaka wanajiabisha. Na hapa ndio sura zao za upigaji unavyojidhihirisha.
Kwahyo kiongozi ukajua nakupiga kamba
 
Good approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...

Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae

Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara

Nimependa hii approach big up

NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika

Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako

Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Umeeleza vizuri, lakini CAF wamezuia mashabiki kuingia uwanjani, sasa wanaenda kufanya nini?
 
Good approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...

Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae

Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara

Nimependa hii approach big up

NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika

Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako

Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Great Thinker
 
.
20210907_203302.jpg
 
Wazima ni wale wanaoajiri kocha mwenye elimu ya MEMKWA.
Mkuu mimi ni Yanga lakini sio siri nyie ni miongoni mwa watu mnaotutia aibu na kuonekana kama vile Lucy Eymael alikuwa sahihi vile. Sasa huyo anayebezwa anacheti cha MEMKWA ndio mwenye mafanikio ya kubeba mataji mawili FA na ligi kuu huku kwenye champions league kafika robo fainali. Je huyu Nabi mwenye elimu kubwa kabeba kikombe gani mbele ya huyu wa MEMKWA? Klabu bingwa ndio hiyo inaelekea kuaga mashindano bado unaamini vyeti badala ya uwezo wa mwalimu. Pole sana kwa kushindwa kufikiria.
 
Mshabiki anafaidika na nini kama uwanjani hatoruhusiwa kutazama mechi au kwenda kutalii tu Nigeria?
Hata kusafiri tu timu ni leisure experience kubwa, na kutoa pesa kwa ajili ya Club ambayo una mapenzi nayo sio dhambi
 
Mashabiki wanaenda Nigeria kufanya nini?
Just for leisure experience na timu yake, kama shabiki na kama timu na kujaribu kufix gharama ya kukodi Air Tanzania

Hata mimi ningekuwa na huo uwezo wa kiasi hicho ningelipia for my happy ya kusafiri na timu ambayo nina mapenzi nayo

Halafu sio kila kitu wewe ndo unakili na upeo mkubwa kuzidi uongozi wa timu kwenye maswala ya soka
 
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo

Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege

Sasa Timu inayojiita Kubwa Afrika Mashariki na kati iliyomsajili Djuma Shabani kwa 1.5B na kununua Scania kwa 1.2B, inayomlipa Manara Mshahara wa 11M inashindwa kukodi ndege kwa ajili ya Wachezaji wake mpaka ijazwe na Mashabiki?

Kweli Yanga inakosa hela ya kukodi Ndege?
 
Unajiona una akili kumbe takataka
Kolo mkubwa peleka shule kocha wenu
Msipanic tafadhari mashabiki wa Uto tunaomba utulivu wenu kipindi hiki tafadhari.

Tulia hivo hivo wanigeria wanipakatie watu.Hovyo kabisa nafasi yenyewe mmepewa ila mlivyokuwa hamna aibu mnapigwa kwenu uto bhana🐸🐸
 
Sasa Timu inayojiita Kubwa Afrika Mashariki na kati iliyomsajili Djuma Shabani kwa 1.5B na kununua Scania kwa 1.2B, inayomlipa Manara Mshahara wa 11M inashindwa kukodi ndege kwa ajili ya Wachezaji wake mpaka ijazwe na Mashabiki?

Kweli Yanga inakosa hela ya kukodi Ndege?
Kweli nyie ni Mbumbumbu FC!!! ATCL wana route ya kwenda Nigeria?
 
Just for leisure experience na timu yake, kama shabiki na kama timu na kujaribu kufix gharama ya kukodi Air Tanzania

Hata mimi ningekuwa na huo uwezo wa kiasi hicho ningelipia for my happy ya kusafiri na timu ambayo nina mapenzi nayo

Halafu sio kila kitu wewe ndo unakili na upeo mkubwa kuzidi uongozi wa timu kwenye maswala ya soka
Hujajibu swali kibonge, lakini na wewe ushaanza kuchanganyikiwa! Ni sehemu gani nimesema nina akili kuzidi uongozi wa yanga? 😀😀
 
Back
Top Bottom