Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Delegation inaruhusiwa kuingia uwanjani.Mashabiki wanaenda Nigeria kufanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Delegation inaruhusiwa kuingia uwanjani.Mashabiki wanaenda Nigeria kufanya nini?
Kwahyo kiongozi ukajua nakupiga kambaMimi nilihisi ni uongo sikutaka kutia neno mpaka niingie official page ya Yanga. Nikakuta tangazo liko hivi hivi. Yaani viongozi wamekuwa weupe vichwani mpaka wanajiabisha. Na hapa ndio sura zao za upigaji unavyojidhihirisha.
Umeeleza vizuri, lakini CAF wamezuia mashabiki kuingia uwanjani, sasa wanaenda kufanya nini?Good approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...
Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae
Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara
Nimependa hii approach big up
NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika
Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako
Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Nimecheka sanaHumo kwenye ndege walahi zitapigwa ngumi, wakumbuke tu kwenda na polisi kabisa.
Great ThinkerGood approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...
Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae
Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara
Nimependa hii approach big up
NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika
Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako
Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Umeshakata tiketi kwenda Nigeria????Unajiona una akili kumbe takataka
Kolo mkubwa peleka shule kocha wenu
Blaza mpaka aibu nimeona mimi... nasikia kapewa mechi 2 ...which means ya Marudio Rivers na Kombe la hisani na SimbaProf mmempa mechi ngapi vile?
Yani wameweza kujaza uwanja ila ndege imewashindaHumo kwenye ndege walahi zitapigwa ngumi, wakumbuke tu kwenda na polisi kabisa.
Mkuu mimi ni Yanga lakini sio siri nyie ni miongoni mwa watu mnaotutia aibu na kuonekana kama vile Lucy Eymael alikuwa sahihi vile. Sasa huyo anayebezwa anacheti cha MEMKWA ndio mwenye mafanikio ya kubeba mataji mawili FA na ligi kuu huku kwenye champions league kafika robo fainali. Je huyu Nabi mwenye elimu kubwa kabeba kikombe gani mbele ya huyu wa MEMKWA? Klabu bingwa ndio hiyo inaelekea kuaga mashindano bado unaamini vyeti badala ya uwezo wa mwalimu. Pole sana kwa kushindwa kufikiria.Wazima ni wale wanaoajiri kocha mwenye elimu ya MEMKWA.
Hata kusafiri tu timu ni leisure experience kubwa, na kutoa pesa kwa ajili ya Club ambayo una mapenzi nayo sio dhambiMshabiki anafaidika na nini kama uwanjani hatoruhusiwa kutazama mechi au kwenda kutalii tu Nigeria?
Just for leisure experience na timu yake, kama shabiki na kama timu na kujaribu kufix gharama ya kukodi Air TanzaniaMashabiki wanaenda Nigeria kufanya nini?
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo
Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
Msipanic tafadhari mashabiki wa Uto tunaomba utulivu wenu kipindi hiki tafadhari.Unajiona una akili kumbe takataka
Kolo mkubwa peleka shule kocha wenu
Unamaanisha ni kama wale ambao hata mwenyekiti wao aliwaita MBUMBUMBU, au?!😀😀😀 Uongozi ushabaini kuwa mashabiki zao hamna kitu kichwani
Kweli nyie ni Mbumbumbu FC!!! ATCL wana route ya kwenda Nigeria?Sasa Timu inayojiita Kubwa Afrika Mashariki na kati iliyomsajili Djuma Shabani kwa 1.5B na kununua Scania kwa 1.2B, inayomlipa Manara Mshahara wa 11M inashindwa kukodi ndege kwa ajili ya Wachezaji wake mpaka ijazwe na Mashabiki?
Kweli Yanga inakosa hela ya kukodi Ndege?
Hujajibu swali kibonge, lakini na wewe ushaanza kuchanganyikiwa! Ni sehemu gani nimesema nina akili kuzidi uongozi wa yanga? 😀😀Just for leisure experience na timu yake, kama shabiki na kama timu na kujaribu kufix gharama ya kukodi Air Tanzania
Hata mimi ningekuwa na huo uwezo wa kiasi hicho ningelipia for my happy ya kusafiri na timu ambayo nina mapenzi nayo
Halafu sio kila kitu wewe ndo unakili na upeo mkubwa kuzidi uongozi wa timu kwenye maswala ya soka