Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Mkuu mimi ni Yanga lakini sio siri nyie ni miongoni mwa watu mnaotutia aibu na kuonekana kama vile Lucy Eymael alikuwa sahihi vile. Sasa huyo anayebezwa anacheti cha MEMKWA ndio mwenye mafanikio ya kubeba mataji mawili FA na ligi kuu huku kwenye champions league kafika robo fainali. Je huyu Nabi mwenye elimu kubwa kabeba kikombe gani mbele ya huyu wa MEMKWA? Klabu bingwa ndio hiyo inaelekea kuaga mashindano bado unaamini vyeti badala ya uwezo wa mwalimu. Pole sana kwa kushindwa kufikiria.
Wewe ndio pimbi kabisa, Gomes timu kaikuta watu wameshaitengeza, hata angepewa Julio mafanikio hayo yangepatikana.

Credit za huyo mwenye elimu ya hapa na pale aanze sasa hivi zero kilometers, usidhani kila mtu humu ni poyoyo mwenzanko.
 
Wewe ndio pimbi kabisa, Gomes timu kaikuta watu wameshaitengeza, hata angepewa Julio mafanikio hayo yangepatikana.

Credit za huyo mwenye elimu ya hapa na pale aanze sasa hivi zero kilometers, usidhani kila mtu humu ni poyoyo mwenzanko.
Ushakata tiketi au wewe viti maalum?
 
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo

Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
Ushakata tiketi au unabwabwaja tu?
 
Good approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...

Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae

Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara

Nimependa hii approach big up

NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika

Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako

Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Kuonyesha mapenzi kwa timu hadi uchangie ticket ni kwenda uwanjani siyo kwenda kukaa nje ya uwanja huku umeacha kazi zako ,mbali na hapo ni ukichaa
 
Wewe ndio pimbi kabisa, Gomes timu kaikuta watu wameshaitengeza, hata angepewa Julio mafanikio hayo yangepatikana.

Credit za huyo mwenye elimu ya hapa na pale aanze sasa hivi zero kilometers, usidhani kila mtu humu ni poyoyo mwenzanko.

Natunza hii coment nitakutafuta baada ya msimu huu kukamilika tuone atakachovuna tena Gomez kama ulivyomtaka aanzie sasa hivi.
 
Huu msukule umekuja na nuksi sana, Ghalib amuondoe haraka kabla wananchi hawajamgawana
IMG-20210912-WA0007.jpg
 
Sasa Timu inayojiita Kubwa Afrika Mashariki na kati iliyomsajili Djuma Shabani kwa 1.5B na kununua Scania kwa 1.2B, inayomlipa Manara Mshahara wa 11M inashindwa kukodi ndege kwa ajili ya Wachezaji wake mpaka ijazwe na Mashabiki?

Kweli Yanga inakosa hela ya kukodi Ndege?
Issue sio kukosa pesa ya kukodi ndege mkuu ila issue ni namna timu imeamua kuijaza ndege itakayo ondoka na wachezaji na viongozi

And there is no free lunch in Africa, na wala sio lazima, ila ni namna ukiamua kwenda wewe mwenyewe

Na wala sijaona bado logic yako iko wapi hapo katika suala hili

But remember you are not much intelligent to think every club actions are wrong and your thoughts are complete right
 
Back
Top Bottom