Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu inaendeshwa kibabaishajiBlaza mpaka aibu nimeona mimi... nasikia kapewa mechi 2 ...which means ya Marudio Rivers na Kombe la hisani na Simba
Bora Profesa aanze kupaki begi lake
Wewe ndio pimbi kabisa, Gomes timu kaikuta watu wameshaitengeza, hata angepewa Julio mafanikio hayo yangepatikana.Mkuu mimi ni Yanga lakini sio siri nyie ni miongoni mwa watu mnaotutia aibu na kuonekana kama vile Lucy Eymael alikuwa sahihi vile. Sasa huyo anayebezwa anacheti cha MEMKWA ndio mwenye mafanikio ya kubeba mataji mawili FA na ligi kuu huku kwenye champions league kafika robo fainali. Je huyu Nabi mwenye elimu kubwa kabeba kikombe gani mbele ya huyu wa MEMKWA? Klabu bingwa ndio hiyo inaelekea kuaga mashindano bado unaamini vyeti badala ya uwezo wa mwalimu. Pole sana kwa kushindwa kufikiria.
Na kwenda kutaliiiHalaf wanaenda kufungwa tu
Hivi na wewe ikifika usiku kumbe unakuwaga na tunguri?Halaf wanaenda kufungwa tu
ila aliye waloga yanga sijui nani .... siku ile walitangaza mpaka viingilio
Ushakata tiketi au wewe viti maalum?Wewe ndio pimbi kabisa, Gomes timu kaikuta watu wameshaitengeza, hata angepewa Julio mafanikio hayo yangepatikana.
Credit za huyo mwenye elimu ya hapa na pale aanze sasa hivi zero kilometers, usidhani kila mtu humu ni poyoyo mwenzanko.
Mkuu taratibu basi, maana meza unayotingisha ina vinywajiila aliye waloga yanga sijui nani .... siku ile walitangaza mpaka viingilio
Ushakata tiketi au unabwabwaja tu?Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo
Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
Msimu wa Yanga ushaisha kabla hata ya msimu wenyewe kuanzaKutoka kujaza uwanja mpaka kujaza ndege, hakiyanani huu mwaka kabla haujaisha kuna mtu atakamatwa kwa utapeli.
Hivi na wewe ikifika usiku kumbe unakuwaga na tunguri?
Kuonyesha mapenzi kwa timu hadi uchangie ticket ni kwenda uwanjani siyo kwenda kukaa nje ya uwanja huku umeacha kazi zako ,mbali na hapo ni ukichaaGood approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...
Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae
Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara
Nimependa hii approach big up
NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika
Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako
Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Memkwa iliyopeleka timu robo fainali,halafu ikachukua vyote FA na VPLWazima ni wale wanaoajiri kocha mwenye elimu ya MEMKWA.
Huyo MEMKWA ndo kafanya mpate hiyo nafasi ya kushiriki kama viti maalum halafu mechi ya kwanza tu mnakata maumo tu uwanjaniWazima ni wale wanaoajiri kocha mwenye elimu ya MEMKWA.
Wewe ndio pimbi kabisa, Gomes timu kaikuta watu wameshaitengeza, hata angepewa Julio mafanikio hayo yangepatikana.
Credit za huyo mwenye elimu ya hapa na pale aanze sasa hivi zero kilometers, usidhani kila mtu humu ni poyoyo mwenzanko.
😀😀😀😀😀 yanga hapa kwa kweliii...manara alikuwa sahihi kusema ukimtoa JK na baba yake waliobaki wote hamnazoMkuu taratibu basi, maana meza unayotingisha ina vinywaji
Issue sio kukosa pesa ya kukodi ndege mkuu ila issue ni namna timu imeamua kuijaza ndege itakayo ondoka na wachezaji na viongoziSasa Timu inayojiita Kubwa Afrika Mashariki na kati iliyomsajili Djuma Shabani kwa 1.5B na kununua Scania kwa 1.2B, inayomlipa Manara Mshahara wa 11M inashindwa kukodi ndege kwa ajili ya Wachezaji wake mpaka ijazwe na Mashabiki?
Kweli Yanga inakosa hela ya kukodi Ndege?