Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yanga hapa kwa kweliii...manara alikuwa sahihi kusema ukimtoa JK na baba yake waliobaki wote hamnazo
Na kweli yeye anakula bata huku wananchi wanaugulia vipigo
FB_IMG_1631647099990.jpg
 
Hujajibu swali kibonge, lakini na wewe ushaanza kuchanganyikiwa! Ni sehemu gani nimesema nina akili kuzidi uongozi wa yanga? 😀😀
Jambo likitangazwa na Club it means uongozi mzima umekaa na kuja na kitu kimoja Very clear

Ila ww unatokea wapi sijui unaanza kuja na thread za kuanza kueleza umma wa watanzania eti Yanga wamechanganyikwa

Hii inaonesha wewe ndo una akili kuliko Yanga ambao wamekuwa vichaa na kuchanganyikiwa, au ni kwasababu umepata platform ya kuongea ulitakalo
 
Good approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...

Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae

Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara

Nimependa hii approach big up

NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika

Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako

Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Vibubu kumbe bado vipo jangwan, hivi ile billion 40 ya Azam teh teh teh teh bado haijafika klabuni
 
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo

Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
Kwani issue kujaza au kukodi ndege, vibubu fc mnashida kweli....
 
Just for leisure experience na timu yake, kama shabiki na kama timu na kujaribu kufix gharama ya kukodi Air Tanzania

Hata mimi ningekuwa na huo uwezo wa kiasi hicho ningelipia for my happy ya kusafiri na timu ambayo nina mapenzi nayo

Halafu sio kila kitu wewe ndo unakili na upeo mkubwa kuzidi uongozi wa timu kwenye maswala ya soka
Yaani mgejaribu kufikiria mambo mengi. Je hao mashabiki mtakua na uhakika nao kama hawatawambukiza wachezaji covid.
Yaani hapa mnaonesha ni jinsi gani hamjajiandaa kwenda kushinda mechi.
Ndege mmekodi mtafika kule mtaenda kuwekwa kalantini sasa badala ya kuanza kuiwazia timu mtaanza kuwawazia mashabiki . CAF wamezuia mashabiki, Afu unasema ni utalii serious. Mnaenda kucheza mechi au mnaenda kutalii?
 
Yaani mgejaribu kufikiria mambo mengi. Je hao mashabiki mtakua na uhakika nao kama hawatawambukiza wachezaji covid.
Yaani hapa mnaonesha ni jinsi gani hamjajiandaa kwenda kushinda mechi.
Ndege mmekodi mtafika kule mtaenda kuwekwa kalantini sasa badala ya kuanza kuiwazia timu mtaanza kuwawazia mashabiki . CAF wamezuia mashabiki, Afu unasema ni utalii serious. Mnaenda kucheza mechi au mnaenda kutalii?
Na wewe tulia hivyo hivyo, sisi tuna jambo letu kule Nigeria na katika ndege tuliokodi tunahitaji watu 46 ili ijae, swala la wanaenda kufanya nini? Ni ss ndo tunajua na muendelee kukaa kwa kutulia makolo nyie
 
Upande ndege kwa Yanga ipi?
Ushauri wangu kwa wana Uto
Kuweni wazalendo hata kidogo nchi inao wawakilishi tayari wekeni uyanga pembeni hicho kiasi cha dorari mkawa support hata makomando wetu wa mpakani
 
Back
Top Bottom