Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

Kupitia ukurasa wao wa Twitter, klabu ya Yanga imetoa tangazo kuelekea Nigeria siku ya Ijumaa na Kurudi Jumapili baada ya mechi.

Yanga wamewaomba mashabiki wao kuwasapoti kwenda Nigeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Rivers United kupitia ATCL.

Sasa mtu atatoaje kiasi chote cha hela halafu hatoweza kuingia uwanjani kwaajili ya kucheki mechi, hii ni kama wamechanganyikiwa nadhani!

Na baada ya mechi ya Rivers, kituo kinachofata ni Lupaso, Kwa Mkapa dhidibya Simba nadhani ndo wanazidi kupoteana!!

Yanga acheni janja janja[emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1937509

Good approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...

Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae

Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara

Nimependa hii approach big up

NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika

Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako

Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
 
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo

Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
 
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo

Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
Mshabiki anafaidika na nini kama uwanjani hatoruhusiwa kutazama mechi au kwenda kutalii tu Nigeria?
 
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo

Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
halafu wakijaza ndege
 
Good approach ya kurudisha gharama walau kiasi flan... Hapo wanachofanya sababu wanaondoka na ndege ya kukodi na itawasubiria...

Maana yake kwa ndege yenye capacity ya watu 60 na wao labda watakuwa 30 (wachezaj plus viongoz) sababu wamekodi maana yake iko fixed price so kuliko kupata hasara ya seats zingine kuwa wazi ni bora wanachama nao waende ndege ijae

Kama.wamekodi kwa 200m na wao wako 30 maana hake wakipata wengine 30 wa kujaza basi wanaweza wakajikuta wamerudisha walao 50m au hata 100m akili kumbuka biashara GSM mfanyabiashara

Nimependa hii approach big up

NB: swala la malazi ya hoteli au kuruhusiwa au kutokuruhusiwa uingia uwanjan hilo utajua ukifika na kama.utaruhusiwa kiingilio utajua mwenyewe ukifika

Kikubwa onyesha mapenzi kwa team yako na uzalendo kwa taifa[emoji41][emoji41][emoji4][emoji4] ili ukilalamika uwe na sababu sio unalalamika club haijawai kula hata mia yako

Wi wini tugeza we luzi tugeza[emoji41][emoji41]
Daah 😆
 
Yaah wapo sahihi, hapo imekodiwa ndege ya Air Tanzania ambayo itawapeleka na kuwarudisha na maana yake itawasubiri na game ikiisha usiku huo huo ndege inageuza kurudi Bongo

Kinachofanyika ni kuijaza ndege Coz Yanga pekee na viongozi hawawezi kuijaza ndege ile peke yao, kwahyo wanatoa nafasi kwa wapenzi na mashabiki kulipia kwa ajili ya hiyo safari ili kurudisha some cost iliyotumika katika kukodi ndege
Mashabiki wanaenda Nigeria kufanya nini?
 
Viongozi wana matatizo ya kuwahadaa kila siku mashabiki wao na kuwaona wote misukule. Caf imeshatangaza hakuna washabiki kuingia kushangilia hatua hii ya awali, sasa hao mashabiki wanataka waende kutali tu huko kwa ndg zake Kapumbu wa Nigeria?
Kwani kuwasindikiza pia imekatazwa 😣😣😣
 
Back
Top Bottom