Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Pole yaokwa jinsi walivyotingwa sasa ingekuwa ni ndani ya uwezo wao wasingeenda sio kwa biti walilopgwa hvyo wanatafuta huruma ya mashabiki
Jumapili waliwakataa watu ahahahahSikiliza weweee,Sisi tuna watu
View attachment 1937543
Kabisa mkuuHawana nauli hao...
Hiyo ni janja janja tu.
InashangazaAisee.
Wanapenda kukurupuka sana[emoji3][emoji3] utopolo wanazidi poteana ..
Hao watu wana akili?ππSikiliza weweee,Sisi tuna watu
View attachment 1937543
πππ Uongozi ushabaini kuwa mashabiki zao hamna kitu kichwaniViongozi wana matatizo ya kuwahadaa kila siku mashabiki wao na kuwaona wote misukule. Caf imeshatangaza hakuna washabiki kuingia kushangilia hatua hii ya awali, sasa hao mashabiki wanataka waende kutali tu huko kwa ndg zake Kapumbu wa Nigeria?
Wanatia huruma sanakwa jinsi walivyotingwa sasa ingekuwa ni ndani ya uwezo wao wasingeenda sio kwa biti walilopgwa hvyo wanatafuta huruma ya mashabiki
CAF ndio walikataza watu kiwanjaniJumapili waliwakataa watu ahahahah
π€£π€£π€£yani kutoka kwenye slogan ya sisi tuna watu mpaka HATUTAKI WATU huoni mkuu kama roho za mafarakano zinawaandama Uto