Yanga wamechanganyikiwa, oneni hili tangazo

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yanga hapa kwa kweliii...manara alikuwa sahihi kusema ukimtoa JK na baba yake waliobaki wote hamnazo
Na kweli yeye anakula bata huku wananchi wanaugulia vipigo
 
Hujajibu swali kibonge, lakini na wewe ushaanza kuchanganyikiwa! Ni sehemu gani nimesema nina akili kuzidi uongozi wa yanga? 😀😀
Jambo likitangazwa na Club it means uongozi mzima umekaa na kuja na kitu kimoja Very clear

Ila ww unatokea wapi sijui unaanza kuja na thread za kuanza kueleza umma wa watanzania eti Yanga wamechanganyikwa

Hii inaonesha wewe ndo una akili kuliko Yanga ambao wamekuwa vichaa na kuchanganyikiwa, au ni kwasababu umepata platform ya kuongea ulitakalo
 
Vibubu kumbe bado vipo jangwan, hivi ile billion 40 ya Azam teh teh teh teh bado haijafika klabuni
 
Kwani issue kujaza au kukodi ndege, vibubu fc mnashida kweli....
 
Yaani mgejaribu kufikiria mambo mengi. Je hao mashabiki mtakua na uhakika nao kama hawatawambukiza wachezaji covid.
Yaani hapa mnaonesha ni jinsi gani hamjajiandaa kwenda kushinda mechi.
Ndege mmekodi mtafika kule mtaenda kuwekwa kalantini sasa badala ya kuanza kuiwazia timu mtaanza kuwawazia mashabiki . CAF wamezuia mashabiki, Afu unasema ni utalii serious. Mnaenda kucheza mechi au mnaenda kutalii?
 
Na wewe tulia hivyo hivyo, sisi tuna jambo letu kule Nigeria na katika ndege tuliokodi tunahitaji watu 46 ili ijae, swala la wanaenda kufanya nini? Ni ss ndo tunajua na muendelee kukaa kwa kutulia makolo nyie
 
Upande ndege kwa Yanga ipi?
Ushauri wangu kwa wana Uto
Kuweni wazalendo hata kidogo nchi inao wawakilishi tayari wekeni uyanga pembeni hicho kiasi cha dorari mkawa support hata makomando wetu wa mpakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…