Yanga wana uwezo wa kubeba Ndoo ya Afrika, wamekosa Nusu Fainali au Fainal labda zifanyike figisu


Yanga malengo ya msimu huu ni robo fainali, msimu uliopita ilikuwa makundi
 
Nafikiri lilipaswa nizungumze na Baba yako sio wewe mtoto.
 
Nafikiri lilipaswa nizungumze na Baba yako sio wewe mtoto.
Hizo mechi hazijulikani sababu umeshindwa kutaja hata first eleven za wachezaji hahahaha 🤣🤣🤣🤣 Kono la nyani umelipokea mbumbumbu wewe 5555🤣🤣🤣
 
Yale ni mashindano ya mabingwa na sio fainali ya mapinduzi cup!!
 
Mzee wa kujifariji
 
Makolo mmeshinda Mechi 2 huku mkiwa na goli 7 lakini ni kama mna muhaho!

Yanga ndo kwanza gemu ya kwanza mmeshaanza kutoa milio!
Milio ilianzia yanga, eti simba wamepewa mechi rahisi za kuanza nazo .
 
swala la makombe ya afrika kunyakuliwa na yanga msimu huu halipingiki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…