Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kuna wataalamu wnasema anashambulia sna anasahau kulinda. Kesho utasikia njia nzuri ya kulinda ni kushambulia.. bongo nyosoSasa wewe unayeujua mpira mbona sijaona ukielezea kitaalamu wanatakiwa kucheza vipi?
Huko kucheza technically ndio kukoje?
Kuna shida gani katika mfumo, wanatakiwa wabadili kwenda mfumo gani, wakishambulia waende vipi na wakati wa kushambuliwa wajilinde vipi.
Vyote hujaelezea zaidi ya kuongea yasiyo na maana. Wakati mwingine mjaribu kutafakari kabla ya kuanzisha thread, msituchoshe kusoma ujinga inakera.
Potelea mbali, dakiaka yakr ya tatu tu kashakula kifuniko analialia. Mbumbumbu huyuWatasema za kununua au kuroga
Sorry na argue na mtu weak..ngoja nikuache kwanzaWewe ndio mpumbavu mwenyewe sasa, kama hutaki thread umeanzisha ya nini? Mipasho?
Lakini alikupiga 5...Yanga timu ya kitoto imejaa ushamba mwingi mbinu hamna halafu na mashabiki wao kila mtu anajua mpira
Ila ukaenda kumchukua kocha wa loser cup ili akufundisheUto wanakuja na uzoefu toka michuano ya losers!! Matokeo yake watajuta kuingia makundi caf champions league!! Kessho medeama atajimegea kwa kadri ya njaa yake!! Akitaka 1 sawa, akitaka 2 sawa na akitaka 3 au zaidi sawa pia!!
Formula ambayo haina matokeo chanja inaruhusu tatu bila maana yake sawa sawa na kutumia treni ya mkaa kwa kushindani na treni za umeme..wewe mwenyewe umesema ni formula ya 1994 ni mbali sana aiseeYanga wanacheza pira samba, sisi wahenga tunalijua pira hili lilichezwa na brazil michezo ya world cup 1994 wewe hujazaliwa.
yaani pira la kufunguka mwanzo mwisho. ni bahati tu haiko upande wao ndio mana wamepoteza. 2 matches. lakini
wakiendeleza pira hili msimu ujao fainali inawahusu. Note. mpira wanaocheza simba hauvutii hata kuutazama kwenye tv. yaani kama ndondo fulani hivii. Huu ndio ukweli ukikataa nafsi inakusuta.fo
Yanga kesho inapigwa kuanzia 2 kuendlee tupo hapaUmeandika kama mtu unayeufahamu mpira au umeandika kama shabiki wa simba tu? Tuanzie hapa.
Mamelod soka wanalocheza ndo hilo hilo iwe hom au away hao waarabu waga ni waoga ndomna mechi zao zote wote wakiwa away hawafunguki.
Yanga inacheza soka linaonekana ww unakifariji kishabiki!! Pole sasa pimbi ww
Kundi ndebwedo hiloo lenu,kwenu hesabu zingekua goals 15 yaani 3Γ5Hizo tano za kununuliwa aisee sina kuchanganya..sasa timu inayofunga tano kihalala inakuwaje inapigwa tatu bila
Kumbe timu yenu inanunulika kama malayaHizo tano za kununuliwa aisee sina kuchanganya..sasa timu inayofunga tano kihalala inakuwaje inapigwa tatu bila
Ila tano ukalambwaYanga timu ya kitoto imejaa ushamba mwingi mbinu hamna halafu na mashabiki wao kila mtu anajua mpira
Ndiyo hao hao waliowapiga simba 5-1, au ni wengine!!!Hawajamaa wanafikiri kukimbia kama kama mbung'o uwanja ndio ubora wa timu..kesho utaona kitachotokea