Yanga wanacheza kwa papara, jazba na kukamia, hawajui mpira

Yanga wanacheza kwa papara, jazba na kukamia, hawajui mpira

Mimi ni Simba japo tunamapungufu yetu,mengi Sana Ila hizi mechi angalau tunazimudu,nimeangalia mechi za yanga usema ukweli wanatumia nguvu nyingi Sana alafu last product ni bure,wapunguze kutumia nguvu nyingi watumie akili kushinda mechi zao,watu watamkumbuka mashindi na sio kumiliki mpira,nategemea kuwaona kesho wakikimbia na mpira Sana wasijue wanachoenda kufanya mwishoni
 
Jamaa kaandika uhalisia sana. Jamaa wanacheza pirra riadha, pirra judo ambalo halina ufundi bali limejaaa nguvu nyiiiiiingi na akili kidogo. Sometimes wanapata ushindi kwa Huo Ubushman wao maana wanaogopesha timu pinzani kwa michezo hatarishi. All in all jamaa wanatumia nguvu nyingi kuliko akili na hilo hawataki kuelewa
 
Hivi namna hii hawajui mpira matokeo yalikuwa vile tarehe 5 November sasa wangekuwa wanajua mpira ingekuwa ngapi hivi
 
Hapo vipi?

Kuna jambo nimejifunza sana kwenye hii michuano ya club bingwa.

Kwanza uelewe hizi timu zinazocheza ni bora sana, hilo ni la kwanza kabisa.

Hivyo wanapokuja katika michuano hii hawachezi kwa lengo la kumiliki mpira na kushambulia ila wanacheza technically (mpira wa akili na wamaarifa za hali ya juu).

Yanga naona amekuja kama mshamba fulani katika michuano hii. Mfano wake mrahisi ni sawa sawa na mtu aliyetoka porini au kijiji akafika mjini akaanza kufanya mambo ambaya yanautambulisha ushamba wake. Yaani kuwaona watu wa mji ule hawajui hizo swaga zake, kumbe zilishapitwa na wakati.

Hivyo hizi timu bora na zenyeuzoefu na michuano hii zinatumia ushamba wa Yanga kucheza technically na kuondoka na point kilaini. Kwa hiyo ulemmchezo wa yanga ni mpira inayochezwa na timu inayoitwa siamini kushiriki mashindano haya.

Yanga inaweza kufungwa karibia mechi zote katika league hii, hata kesho kuna magoli yasiopungua 2 au matatu.

Angalia hata Ally Ahly alivyocheza na Yanga, hana pressure wala haraka.
FUNGA DOMO HILO HUJUI CHOCHOTE WEWE...yaani yanga icheze kwa kuvizia vizia wakati mpira wananujua...timu yako ingecheza na boluizdad na al ahly isingeambulia hata point moja mpk sasa,ila yanga kwa jwaneng na asec si ajabu wangekuwa na 6 au 4,wanaojua boli tu ndo wanaolijua hilo sio wewe kilaza
 
Jamaa kaandika uhalisia sana. Jamaa wanacheza pirra riadha, pirra judo ambalo halina ufundi bali limejaaa nguvu nyiiiiiingi na akili kidogo. Sometimes wanapata ushindi kwa Huo Ubushman wao maana wanaogopesha timu pinzani kwa michezo hatarishi. All in all jamaa wanatumia nguvu nyingi kuliko akili na hilo hawataki kuelewa
Sawa lakini walikupiga 5
 
Hapo vipi?

Kuna jambo nimejifunza sana kwenye hii michuano ya club bingwa.

Kwanza uelewe hizi timu zinazocheza ni bora sana, hilo ni la kwanza kabisa.

Hivyo wanapokuja katika michuano hii hawachezi kwa lengo la kumiliki mpira na kushambulia ila wanacheza technically (mpira wa akili na wamaarifa za hali ya juu).

Yanga naona amekuja kama mshamba fulani katika michuano hii. Mfano wake mrahisi ni sawa sawa na mtu aliyetoka porini au kijiji akafika mjini akaanza kufanya mambo ambaya yanautambulisha ushamba wake. Yaani kuwaona watu wa mji ule hawajui hizo swaga zake, kumbe zilishapitwa na wakati.

Hivyo hizi timu bora na zenyeuzoefu na michuano hii zinatumia ushamba wa Yanga kucheza technically na kuondoka na point kilaini. Kwa hiyo ulemmchezo wa yanga ni mpira inayochezwa na timu inayoitwa siamini kushiriki mashindano haya.

Yanga inaweza kufungwa karibia mechi zote katika league hii, hata kesho kuna magoli yasiopungua 2 au matatu.

Angalia hata Ally Ahly alivyocheza na Yanga, hana pressure wala haraka.
Yanga weshafikia malengo yao ya kufikia hatua ya makundi msimu huu! Ndio kusema hata hiyo point moja waliyonayo tayari ni zaidi ya malengo yao.

Simba nao wapambane na malengo yao kufikia Nusu fainali msimu huu!
 
Yanga na man city ni sawasawa tu
Sema kuna marekebisho madogo tu ya kumpata halaand pale mbele tu basi
Kama bado tungekuwa na halaand mayele
Ungekuta tunaongoza kwa sasa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Yanga ushamba ndiyo asili yao wala hawajaanza leo. Hata ushangiliaji wao utagundua tu kwamba hiki ni kikundi fulani hivi cha washamba toka Sangamwarugesha.
 
FUNGA DOMO HILO HUJUI CHOCHOTE WEWE...yaani yanga icheze kwa kuvizia vizia wakati mpira wananujua...timu yako ingecheza na boluizdad na al ahly isingeambulia hata point moja mpk sasa,ila yanga kwa jwaneng na asec si ajabu wangekuwa na 6 au 4,wanaojua boli tu ndo wanaolijua hilo sio wewe kilaza

FUNGA DOMO HILO HUJUI CHOCHOTE WEWE...yaani yanga icheze kwa kuvizia vizia wakati mpira wananujua...timu yako ingecheza na boluizdad na al ahly isingeambulia hata point moja mpk sasa,ila yanga kwa jwaneng na asec si ajabu wangekuwa na 6 au 4,wanaojua boli tu ndo wanaolijua hilo sio wewe kilaza
Mzee mbona kama umetoroka milembe🤪,,huyo al ahly si tumecheza nae mwez wa 10 mbon hakushnda gem hata moja
 
Back
Top Bottom