Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Kigogo kasema kumbe Diarra ni KABWILI aliyechangamka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mtakandwa leoKiungo rahisi kukitumia kwenye mwili wa binadamu ni ulimi. Hapa umebwabwaja utadhani unajua soka kumbe Mbumbumbu tu.
peleka utopolo huko wew uto pro max snitch mkubwaMimi shabiki wa simba napata wapi nguvu za kumsema mtu alinipiga 5?, napata wapi nguvu za kuisema team flani wakati team yangu nimeisusa kama mwanamke?. Natoa wapi moyo wa kuisema timu ambayo inacheza mpira wa kuvutia? Natoa wapi nguvu za kuisema yanga wakati kwengu bado sijajua shida iko wapi kati ya viongozi, wachezaji, kocha au uchawi
endelea kuwaza hizo 5 zako tusuburi mavuno mwezi wa pili mwakaniLakini alikupiga 5...
Nachoona Simba wengi zile 5 Bado zinawauma
Pamoja na kukimbia kimbia bado mkapigwa bao 5,vuta picha wangekuwa hawakimbii kimbii mngepigwa bao ngapi?Utopongo yana kimbia kimbia uwanjani bla mipango kama mang'ombe 🤣🤣
Muliwaonga wakina boco,manula na wengine..sasa mnaona wanachezea bechiPamoja na kukimbia kimbia bado mkapigwa bao 5,vuta picha wangekuwa hawakimbii kimbii mngepigwa bao ngapi?
Na kocha wenu mlimtimua kwann!?Mliwahonga wachezaji pamoja na manula..ndio maaa tunamuweka bechi..nyie hamna uwezo wa kuifunga Simba
Hana lolote huyo. Anasumbuliwa na wivu wa mafanikio ya Yanga plus kipigo cha bao 5 juzi kati hapa.Wewe ndio mpumbavu mwenyewe sasa, kama hutaki thread umeanzisha ya nini? Mipasho?
Utaelewa tu taratibu..endelea kujitoa ufahamuSijakuelewa kabisa
kwani kwenye kundi al ahly kamfunga yanga?na kama swala la simba kutofungwa na al ahly ila nani kanufaika na hayo matokeo?Mzee mbona kama umetoroka milembe🤪,,huyo al ahly si tumecheza nae mwez wa 10 mbon hakushnda gem hata moja
Ndo utajijibu mwenyewe,hapo juu ulsema simba angecheza na hzo tim znazokunyoosha asingepata hata point moja.kaa ukijua simba asha ongoza kundi mbele ya huyo mbabe wenu al ahly wala al ahly hajawahi kuwa kikwazo kwa simba ,wew belouzdad tu anakupakata 😁kwani kwenye kundi al ahly kamfunga yanga?na kama swala la simba kutofungwa na al ahly ila nani kanufaika na hayo matokeo?
usijitoe ufahamu simba iliongoza kundi kipindi kile ilikuwa kitu kingine kabisa usifananishe na simba ya sasa kikundi cha wahuni kwa boilizdad haipati hata point mojaNdo utajijibu mwenyewe,hapo juu ulsema simba angecheza na hzo tim znazokunyoosha asingepata hata point moja.kaa ukijua simba asha ongoza kundi mbele ya huyo mbabe wenu al ahly wala al ahly hajawahi kuwa kikwazo kwa simba ,wew belouzdad tu anakupakata 😁