Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambumbumbu utawaweza?Mmeanza tena[emoji28]
You are totally LOST.Wakuu najua hata wao hawelewi wameingiaje, Akili hazijatulia kabisa. Huenda aibu ya Karne ikawakumba hawa mabwana maana balaa lililo mbele Yao ni zaidi ya moto wa kifuu.
Nasikitika kuona kizazi Cha waganga kinaongezeka mtaani.Wakuu najua hata wao hawelewi wameingiaje, Akili hazijatulia kabisa. Huenda aibu ya Karne ikawakumba hawa mabwana maana balaa lililo mbele Yao ni zaidi ya moto wa kifuu.
Unatesekea wapi?Wakuu najua hata wao hawelewi wameingiaje, Akili hazijatulia kabisa. Huenda aibu ya Karne ikawakumba hawa mabwana maana balaa lililo mbele Yao ni zaidi ya moto wa kifuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taahira jingine hili
Wameanza upyaa watajaza threads kibao😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambumbumbu utawaweza?
Muwe na akiba ya maneno basi, mechi moja tu ndio mnajipa ujiko kiasi hiki?Yanga msimu huu imeonesha kuwa ni timu inayocheza vizuri ugenini kuliko nyumbani. Wanatawala mchezo kuliko mwenyeji. Kuna mambo madogo sana kiufundi yakuweka sawa baada ya hapo tutakuja kushuhudia Yanga inayokupigia kokote pale iwe nyumbani au ugenini.
Hayana akili yanaishi kama mang'ombe tu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wameanza upyaa watajaza thread kibao[emoji28]
Yaani uku kwenye michuano ya Shirikisho ndio Kuna balaa la kumfanya Yanga aweweseke!!! Itakua mpira umeuvamia.Wakuu najua hata wao hawelewi wameingiaje, Akili hazijatulia kabisa. Huenda aibu ya Karne ikawakumba hawa mabwana maana balaa lililo mbele Yao ni zaidi ya moto wa kifuu.