Kapige mswaki kwanza unawe uso kuondoa tongotongoKwa hali ilivyo sasa Yanga wanaweza kuivuka Historia ya SIMBA. I am a SImba Fan lakini SIMBA mwaka Jana kulikuwa na timu kama BERKANE ORLANDO.
This Time CAFCC kuna timu nyingi lakini za kawaida sana mfano future pyramid FAR RABAT na Rivers zote za kawaida sana.
Mpira mwepesi sana mdomoniHata mie nakubali kule CAFCC hakuna team za kutisha mwaka huu, Yanga wakichanga karata vizuri wanafika Final km sio kuchukua kombe kabisaa.
Team nayoona inaweza kuizuia Yanga ni Pyramids tyuuh, wale wengine anawapiga nje ndani (akiwa serious).
Akili akili akili mtu wangu..,Kwa hali ilivyo sasa Yanga wanaweza kuivuka Historia ya SIMBA. I am a SImba Fan lakini SIMBA mwaka Jana kulikuwa na timu kama BERKANE ORLANDO.
This Time CAFCC kuna timu nyingi lakini za kawaida sana mfano future pyramid FAR RABAT na Rivers zote za kawaida sana.
Hapana, Yanga wakiwa makini na serious wanaweza fanya maajabu. Kule shirikisho hakuna team za kutisha mwaka huu.Mpira mwepesi sana mdomoni
Wakifika Fainali watakua wameifikia hatua ambayo Simba alifika miaka 30 Iliopita( 1993...Finali ya Shirikisho dhidi ya Stella Abidjan).Kila mafanikio kwa ngazi ya klabu Africa hapa Tanzania,Simba ndio ilifungua na kutengeneza njia. Caf wanavyoiita Giant wanamaanishaπKwa hali ilivyo sasa Yanga wanaweza kuivuka Historia ya SIMBA. I am a SImba Fan lakini SIMBA mwaka Jana kulikuwa na timu kama BERKANE ORLANDO.
This Time CAFCC kuna timu nyingi lakini za kawaida sana mfano future pyramid FAR RABAT na Rivers zote za kawaida sana.
Wanaweza kweli, maana timu zenyewe ni Asec, Rivers, USM Alger, Gallants n.k hazitishi sana, kwa Kiwango cha Yanga walichonacho msimu huu, kufika nusu fainali ni 80% kufika fainali ni 50%Mpira mwepesi sana mdomoni
SawaHata mie nakubali kule CAFCC hakuna team za kutisha mwaka huu, Yanga wakichanga karata vizuri wanafika Final km sio kuchukua kombe kabisaa.
Team nayoona inaweza kuizuia Yanga ni Pyramids tyuuh, wale wengine anawapiga nje ndani (akiwa serious).
Tukichukua na kombe je!?Wakifika Fainali watakua wameifikia hatua ambayo Simba alifika miaka 30 Iliopita( 1993...Finali ya Shirikisho dhidi ya Stella Abidjan).Kila mafanikio kwa ngazi ya klabu Africa hapa Tanzania,Simba ndio ilifungua na kutengeneza njia. Caf wanavyoiita Giant wanamaanishaπ
Kiungwana kabisa tutawapongeza,Sisi ni Lunyasi,wastaarabu toka kitambo.Mkiivuka tutawapongeza sana in the spirit of football. Ila till then,you will always be in our shadow!!πTukichukua na kombe je!?
Yetu macho..Hapana, Yanga wakiwa makini na serious wanaweza fanya maajabu. Kule shirikisho hakuna team za kutisha mwaka huu.
AhahahahahajKiungwana kabisa tutawapongeza,Sisi ni Lunyasi,wastaarabu toka kitambo.Mkiivuka tutawapongeza sana in the spirit of football. Ila till then,you will always be in our shadow!!π
Mambo sio mepesi kiasi hicho.Hata mie nakubali kule CAFCC hakuna team za kutisha mwaka huu, Yanga wakichanga karata vizuri wanafika Final km sio kuchukua kombe kabisaa.
Team nayoona inaweza kuizuia Yanga ni Pyramids tyuuh, wale wengine anawapiga nje ndani (akiwa serious).
Ngoja ujionee baada ya draw kupangwa.Hapana, Yanga wakiwa makini na serious wanaweza fanya maajabu. Kule shirikisho hakuna team za kutisha mwaka huu.